Cecilia; nilikosea kutaka kujiua baada ya kupofuka
Ilikuwa mwaka 2011 mwezi wa saba katika eneo la Visole Manispaa ya Morogoro, Cecilia Ricardo anasema kuwa wakati huo akiishi kwa dada yake, Theresia Patrick Ricardo alimtuma mtoto wa dada yake, Evodia kwenda dukani kununua sumu ya kuua panya ili anywe kwa lengo la kujiua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Mwanafunzi atumia bastola ya mama kutaka kujiua
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MWANAFUNZI wa darasa la sita katika shule ya msingi Abelt, Singida mjini Stanley Markdonard (13), amenusurika kufa katika jaribio lake la kutaka kujiuawa kwa kujipiga risasi mbili tumboni kwa kutumia bunduki aina ya bastola, mali ya mama yake mkubwa, Joyce Mark Minde.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEumUMHVM8iFKXou93GQwqIeb4rqm7FwKyiWF5nsSPM4XFo0nndnXfV4tvZK40yhAOqOfMR8CCEJDnbybOD058MPC/sea.jpg?width=650)
PART III YA ADEBAYOR: KAKA ZANGU WALINIWEKEA KISU SHINGONI KISA FEDHA NA NIMEJARIBU MARA KADHAA KUTAKA KUJIUA
10 years ago
Bongo519 Dec
Ex wa Nicki Minaj afikiria kujiua baada ya kupigwa kibuti!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s72-c/DR.jpg)
BAADA YA KUCHUKUA FOMU, DK SHEIN AELEZEA SABABU ZA KUTAKA KUREJEA MADARAKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s640/DR.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya...
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Afya ya Mugabe yazidi kuwa utata baada ya kutaka kuanguka hadharani India
![mugabe-robert9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mugabe-robert9-94x94.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIItuHl8V5U/XqBMAVj-J0I/AAAAAAALn1Y/DoZ7gXc8tY8Y0ygI40tnP3QkiBEWK_DLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0122.jpg)
WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee Saimon Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao, kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...
11 years ago
BBCSwahili26 May
Anachotaka kufanya Jessica kabla ya kupofuka
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...