MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA PILI IDARA YA UHAMIAJI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza.
Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KxtabAkup-w/Vf833F4GVsI/AAAAAAAAtos/S9PbydfwtX0/s72-c/tbs_logo.gif)
Taarifa ya walioitwa kwenye usaili TBS
![](http://1.bp.blogspot.com/-KxtabAkup-w/Vf833F4GVsI/AAAAAAAAtos/S9PbydfwtX0/s1600/tbs_logo.gif)
Shirika la Viwango Tanzania linapenda kuwatangazia waombaji wa nafasi za kazi zilizotangazwa 25.5.2015 katika kada zifuatazo, kuwa usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 28 na 29 Septemba 2015 katika ofisi za TBS, Ubungo Dar es Salaam:-Standards Officer II (Pharmacy),Standards Officer II (Microbiology and Chemistry)Standards Officer II (Animal Science) Quality Assurance Officer II (Microbiology with Chemistry)Quality Assurance Officer II (Laboratory Science and Technology)Inspector II (Food &...
11 years ago
MichuziIdara ya Uhamiaji yahamishia shughuli zake zote kwenye jengo jipya Kurasini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6LwrgI5RgFg/XtbL_oCpXFI/AAAAAAALsXU/Lx6jEvk5qlolMFHZLB7zQDBACBxNAlw2gCLcBGAsYHQ/s72-c/u1.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6LwrgI5RgFg/XtbL_oCpXFI/AAAAAAALsXU/Lx6jEvk5qlolMFHZLB7zQDBACBxNAlw2gCLcBGAsYHQ/s1600/u1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wciZdB6toUU/XtbMBvFmsGI/AAAAAAALsXk/dD86z5b3JsYN35-icqqnUNwPp2U3fDTmgCLcBGAsYHQ/s1600/u2.jpg)
11 years ago
Habarileo19 Jun
Usaili Uhamiaji ngoma nzito
MCHAKATO wa usaili kwa ajili ya kujaza nafasi za Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji zinazohitajika, unaendelea licha ya waombaji 4,834 kuchujwa katika awamu ya kwanza. Kati ya waombaji 6,116 waliofanyiwa usaili hivi karibuni jijini Dar es Salaam, waombaji 1,281 ndiyo wamebaki wakisubiri duru ya mwisho ya usaili, wabaki 70 watakaojaza nafasi hizo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s72-c/Untitled17.png)
WASAILIWA 1,281 KUINGIA DURU YA MWISHO YA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF IMMIGRATION)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s1600/Untitled17.png)
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza.
Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...
11 years ago
MichuziWAOMBAJI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI UHAMIAJI WAFANYA USAILI WA AWALI UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidV1MKik9O9iogXWw6TlHeu5nAI8wvAVrgp6eRLfixztFChpUocJTUZhvebgDT1MSjCpBwmn*Kef*T9drAB*-wJ6/235269300KUSITISHWAKWAAJIRAZAKONSTEBONAKOPLOWAUHAMIAJI.jpg?width=650)