WAOMBAJI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI UHAMIAJI WAFANYA USAILI WA AWALI UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
Sehemu ya waombaji zaidi ya 10,000 wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi, Idara ya Uhamiaji wakifanya usaili wa awali wa kuandika ulioandaliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ajili ya kujaza nafasi 70 za kazi ambazo zinahitajika katika Idara hiyo. Usaili huo uliongozwa na Maafisa Utumishi wa wizara hiyo, umefanyika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo ambapo baada ya wiki moja waliofaulu vizuri wataitwa kwa ajili ya usaili wa mwisho.
Afisa Utumishi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTAARIFA KWA UMMA KUHUSU ZOEZI LA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI LILILOFANYWA NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KATIKA UWANJA MPYA WA TAIFA TAREHE 13 JUNI, 2014
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s72-c/Untitled17.png)
WASAILIWA 1,281 KUINGIA DURU YA MWISHO YA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF IMMIGRATION)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zXKSsWaIG_s/U6F5MUcwGVI/AAAAAAAFrf0/D_vNsWPpM3s/s1600/Untitled17.png)
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza.
Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...
11 years ago
Michuzi29 Jul
11 years ago
MichuziSIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xl-0UoFm_EY/VcYaPkku4WI/AAAAAAAAXUQ/ZcDCDujfsL8/s72-c/aveva.jpg)
BONANZA LA SIMBA DAY LILIVYOFANYA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-xl-0UoFm_EY/VcYaPkku4WI/AAAAAAAAXUQ/ZcDCDujfsL8/s640/aveva.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s72-c/MMGL0007.jpg)
YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s1600/MMGL0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nafz-CBBzlI/VSp8pguCB9I/AAAAAAAHQq0/zC6U5Se41Cg/s1600/MMGL0157.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfBusODcBn0/VSp9UZyQ-iI/AAAAAAAHQrA/mY1cGA8CE3k/s1600/MMGL0186.jpg)
11 years ago
MichuziYANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
MichuziSIMBA YAITUNGUA GOR MAHIA BAO 3-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO