Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Acha kulalamika, ishi na watu vizuri — 2

Wiki iliyopita nilisema kwamba mtu anaweza akafanya jambo analoona zuri kwake na wakati huo huo likawa chukizo kwa wengine. Sasa endelea… NI vizuri kuepuka kumsifu mtu isivyostahili kwani ni kumvika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Ishi vizuri kabla, baada ya kustaafu

KUSTAAFU ni tunu ambayo wachache hubahatika kuipata kwa sababu moja kubwa; umri wa kustaafu ni wa uzeeni na wengi hawaufikii.

Kwa kawaida kustaafu huwa ni kati ya umri wa miaka 55 na 60 ambapo Watanzania wengi hawaishi na kufikia miaka hiyo kwa sababu mbalimbali; nyingine zimo ndani ya uwezo wao nyingine nyingi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.

Wengi hufariki dunia wakiwa bado ni watumishi iwe serikalini au katika sekta binafsi, wakilijenga taifa.

Naam, kustaafu ni tunu ingawa ni...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nchi gani zinafanya vizuri katika kupima watu?

Nchi za Afrika zinakabiliwa na changamoto katika hatua ya kupima watu kwa halaiki kubaini ikiwa wamepata maambukizi ya virusi vya corona au la

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Acheni kulalamika

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuacha kulalamika baadala yake wachukue maamuzi magumu ya kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimebobea kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Filikunjombe: Acheni kulalamika

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka wananchi na viongozi kuacha kulalamika na badala yake wachukue hatua sahihi kwa kila mmoja kuwajibika kwa nafasi yake. Filikunjombe alitoa rai hiyo jana...

 

10 years ago

Habarileo

'Mkikaa vijiweni mtaendelea kulalamika'

MKURUGENZI wa Shirika la Nyumba Tanzania (NHC), Nehemia Mchechu amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na kuitolea Serikali lawama zisizo na msingi na badala yake watumie fursa zinazowazunguka kujiajiri.

 

11 years ago

Mtanzania

Dk. Kamani atakiwa kuacha kulalamika

Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani

Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani

NA MWANDISHI WETU, BUSEGA

MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Busega, Simiyu, Mshoni Mshoni, amemtaka Mbunge wa jimbo hilo, Dk. Titus Kamani, kuacha kutumia vyombo vya habari kupotosha wananchi, badala yake awapelekee maendeleo huku akitekeleza ilani ya uchaguzi ya chama hicho.

Mshoni alisema tabia ya mbunge huyo kutumia vyombo vya habari kupotosha ukweli wa hali halisi ilivyo jimboni inawachanganya wanachama na wananchi.

Mwenyekiti huyo alisema hayo baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Wimbo huu wa ‘kulalamika’ hauuziki

Kuna tatizo moja kubwa la viongozi wetu wa vyama vya michezo. Kulalamika. Kulalamika ndiyo utumwa wa viongozi hao. Kila siku habari ya vyama kukosa fedha ndiyo kiini cha mazungumzo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL jibuni hoja, acheni kulalamika

KUNA kipindi Rais Jakaya Kikwete aliwaagiza watendaji wa serikali kutoa taarifa kwa waandishi wa habari ili uwepo uwazi katika masuala mbalimbali yanayohusu wizara na idara zao. Pamoja na agizo hilo...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani