Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Kamani atakiwa kuacha kulalamika

Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani

Mbunge wa Jimbo la Busega,Mh. Titus Kamani

NA MWANDISHI WETU, BUSEGA

MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Busega, Simiyu, Mshoni Mshoni, amemtaka Mbunge wa jimbo hilo, Dk. Titus Kamani, kuacha kutumia vyombo vya habari kupotosha wananchi, badala yake awapelekee maendeleo huku akitekeleza ilani ya uchaguzi ya chama hicho.

Mshoni alisema tabia ya mbunge huyo kutumia vyombo vya habari kupotosha ukweli wa hali halisi ilivyo jimboni inawachanganya wanachama na wananchi.

Mwenyekiti huyo alisema hayo baada...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Filikunjombe: Acheni kulalamika

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka wananchi na viongozi kuacha kulalamika na badala yake wachukue hatua sahihi kwa kila mmoja kuwajibika kwa nafasi yake. Filikunjombe alitoa rai hiyo jana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Acheni kulalamika

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuacha kulalamika baadala yake wachukue maamuzi magumu ya kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimebobea kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wimbo huu wa ‘kulalamika’ hauuziki

Kuna tatizo moja kubwa la viongozi wetu wa vyama vya michezo. Kulalamika. Kulalamika ndiyo utumwa wa viongozi hao. Kila siku habari ya vyama kukosa fedha ndiyo kiini cha mazungumzo.

 

10 years ago

Habarileo

'Mkikaa vijiweni mtaendelea kulalamika'

MKURUGENZI wa Shirika la Nyumba Tanzania (NHC), Nehemia Mchechu amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na kuitolea Serikali lawama zisizo na msingi na badala yake watumie fursa zinazowazunguka kujiajiri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL jibuni hoja, acheni kulalamika

KUNA kipindi Rais Jakaya Kikwete aliwaagiza watendaji wa serikali kutoa taarifa kwa waandishi wa habari ili uwepo uwazi katika masuala mbalimbali yanayohusu wizara na idara zao. Pamoja na agizo hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Acha kulalamika, ishi na watu vizuri — 2

Wiki iliyopita nilisema kwamba mtu anaweza akafanya jambo analoona zuri kwake na wakati huo huo likawa chukizo kwa wengine. Sasa endelea… NI vizuri kuepuka kumsifu mtu isivyostahili kwani ni kumvika...

 

9 years ago

Michuzi

JK: MWENYE TATIZO NA MUSWADA WA HABARI ALETE MAONI SERIKALINI BADALA YA KUKAA NA KULALAMIKA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI·         Aunga mkono asilimia 100 staili ya Kampeni ya Magufuli

·         Asema Tanzania inahitaji mawazo mapya ili iweze kusonga mbele

·         Atamani muda wake wa kuongoza Tanzania kumalizika haraka zaidi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya  Mrisho Kikwete amesema kuwa kama wapo watu binafsi ama taasisi yoyote mahali popote wenye matatizo na Sheria ya Takwimu mpya...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli atakiwa kushughulikia Z’bar

Tanzania's Works Minister John Magufuli addresses delegates after the ruling party CCM elected him as the presidential candidate for the October 25 election in the capital DodomaNA OSCAR ASSENGA, TANGA

RAIS Dk. John Magufuli, ameombwa kutoa nafasi kubwa zaidi ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, ili kujali na kuthamini uamuzi wa wananchi walioufanya wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Ombi hilo lilitolewa juzi na Mbunge wa Viti Maalumu Wilaya ya Magharibi A Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Raisa Mussa wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa.

Mgogoro huo umekuja  baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Kafulila atakiwa kulipa Sh7.5 m

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi) kwa miaka mitano iliyopita, David Kafulila ameamriwa na Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora kulipa Sh7.5 milioni kama dhamana, ili ombi lake lakutaka itengue matokeo ya ubunge wa jimbo hilo yasikilizwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani