Wimbo huu wa ‘kulalamika’ hauuziki
Kuna tatizo moja kubwa la viongozi wetu wa vyama vya michezo. Kulalamika. Kulalamika ndiyo utumwa wa viongozi hao. Kila siku habari ya vyama kukosa fedha ndiyo kiini cha mazungumzo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Wimbo mpya wa Amini — “Asante” huu hapa
9 years ago
Bongo506 Nov
Jaffarai asita kuachia wimbo mwingine mwaka huu
![jaff](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/jaff-300x194.jpg)
Rapper Jaffarai amesema ameahirisha kutoa wimbo mpya mwaka huu kutokana na masikio ya wengi kutokuwa tayari.
Rapper huyo amesema ataanza kusikika tena February mwakani kwa kile anachoamini kuwa ni mwezi wenye bahati kwake.
“Nimeona bora niache kutoa ngoma kwa sasa kwa sababu kuna vitu vingi bado vinaendelea na nimeplan kutoa ngoma mpya mwakani mwezi wa pili kwa sababu huwaga na zali sana mwezi wa pili,” ameiambia Bongo5.
“Ngoma zangu nyingi ninazofanya mwezi wa pili zinakuwa hit, kila...
5 years ago
Bongo514 Feb
Darassa alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu lakini… – Hanscana
Mtayarishaji wa video za muziki nchini ambaye kwa sasa anafanya kazi pamoja na rapa Darassa, Hanscana, amefunguka kuzungumzia ujio mpya wa rapa huyo ambaye bado anafanya vizuri kupitia hit single yake ‘Muziki’.
Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Hanscana amedai Darassa alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu, lakini ameshindwa kutokana ratiba za show za kimataifa kumbana.
“Kusema kweli alikuwa aachie wimbo mpya mwezi huu lakini show za Rwanda na Burundi zimembana sana, amekuwa na tour ndefu sana...
10 years ago
Bongo506 Mar
Stereo na Chid Benz kuachia wimbo ‘Ukonga na Ilala’ mwezi huu
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/W7X7d3oOeC4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6XTbtN2jNM8/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa.
Ilikua ni Jumamosi ya March 28 2015 ambapo zilianza kusambaa taarifa za kifo cha Miongoni mwa Waanzilishi wa kundi la Tip Top Connection Abdul Bonge,kifo ambacho inasemekana kilisababishwa na ugomvi ambao Marehemu Abdul Bonge alienda kuamulia kwa bahati mbaya akasukumwa akadondoka na kufariki. Madee kaamua kuingia studio na kurekodi wimbo huu kwa ajili ya kumbukumbu […]
The post Madee kamuandikia wimbo huu Marehemu Abdul Bonge kwenye siku yake ya kuzaliwa. appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s72-c/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY
![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s1600/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Dk. Slaa: Acheni kulalamika
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuacha kulalamika baadala yake wachukue maamuzi magumu ya kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimebobea kwa...