Jaffarai asita kuachia wimbo mwingine mwaka huu
Rapper Jaffarai amesema ameahirisha kutoa wimbo mpya mwaka huu kutokana na masikio ya wengi kutokuwa tayari.
Rapper huyo amesema ataanza kusikika tena February mwakani kwa kile anachoamini kuwa ni mwezi wenye bahati kwake.
“Nimeona bora niache kutoa ngoma kwa sasa kwa sababu kuna vitu vingi bado vinaendelea na nimeplan kutoa ngoma mpya mwakani mwezi wa pili kwa sababu huwaga na zali sana mwezi wa pili,” ameiambia Bongo5.
“Ngoma zangu nyingi ninazofanya mwezi wa pili zinakuwa hit, kila...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Mar
Stereo na Chid Benz kuachia wimbo ‘Ukonga na Ilala’ mwezi huu
9 years ago
Bongo506 Jan
Amini kuachia nyimbo 24 na video 24 mwaka huu
![amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/amini-300x194.jpg)
Msanii wa muziki, Amini ameweka wazi mipango yake mipya ya mwaka huu kwenye muziki wake.
Miongoni mwa mambo ambayo amepanga kuyabadilisha kwenye utaratibu wake wa kufanya muziki ni kuongeza idadi ya nyimbo ambazo huachia kwa mwaka mzima.
“Plan zangu za kwa 2016 ziko tofauti kidogo na 2015, kwasababu 2015 nilikuwa natoa nyimbo kwa kusikilizia labda wimbo mmoja unaweza ukakaa mwaka mzima.” Alisema Amini kwenye mahojiano na Bongo5.
“Lakini kwa 2016 kila mwezi nitakuwa natoa nyimbo mbili kila...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kabla mwaka haujaisha huu ni ushindi mwingine kwa staa wa tennis duniani…
Staa wa tennis duniani Andy Murray ameingia kwenye headlines baada ya kuibuka mshindi katika nafasi ya mchezaji bora wa mchezo huo kupitia tuzo za BBC. Murray aliibuka mshindi akiwa huko huko Ireland mbele ya umati mkubwa wa watu waliohudhuria katika shughuli hiyo. Huu ni ushindi wa pili kwa Murray kupitia tuzo hizo katika kipindi cha miaka […]
The post Kabla mwaka haujaisha huu ni ushindi mwingine kwa staa wa tennis duniani… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s72-c/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY
![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s1600/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.
9 years ago
Bongo510 Nov
Diamond: Nyimbo na Video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa!
Diamond ni miongoni mwa wasanii ambao waliahidi kuachia kazi mpya baada ya uchaguzi, na kati ya kazi alizofanya, inayosubiriwa kwa hamu zaidi ni wimbo aliomshirikisha staa wa RnB kutoka Marekani, Ne-Yo.
Mpaka sasa bado haijafahamika ni wimbo/nyimbo gani atakazotangulia kuachia, kutokana na style yake ya kufanya vitu kimya kimya mpaka dakika za mwisho akiwa na kila kitu mkononi ndio huwa anaanza kutoa ishara.
Platnumz jana (Nov.9) aliandika post ambayo ni kama ishara ya kuwaandaa mashabiki...
10 years ago
Bongo513 Feb
Rich Mavoko: Sijaachia wimbo wala kwa sasa sina mpango wa kuachia wimbo
10 years ago
Bongo503 Nov
Kala Jeremiah: Wimbo nitakaofungia mwaka ndio wimbo wangu wa kwanza mtu akisikiliza analia
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wangechi kuachia wimbo mpya na Ne-Yo
NAIROBI, KENYA
MSANII wa muziki nchini Kenya, Wangechi Mutu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao amefanya na mkali wa RnB kutoka nchini Marekani, Ne-Yo.
Wimbo huo uliandaliwa tangu Agosti mwaka huu, hivyo unatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa wiki hii huku jina likitarajiwa kutajwa wakati wa utambulisho wa wimbo huo.
“Wimbo ulikuwa tayari muda mrefu, lakini mambo hayakuwa sawa, ila kwa sasa kila kitu kimekamilika na hii ni wiki ya kuachia ngoma hiyo, jina la wimbo litajulikana wakati wa...
9 years ago
Bongo504 Dec
Producer Mr T Touch kuachia wimbo wake
![11355775_382648741933156_266982867_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11355775_382648741933156_266982867_n-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki kutoka studio za ‘Free Nation’, Mr T Touch ameweka wazi mpango wake wa kuanza kuimba huku akijipanga kuachia wimbo wake uitwao ‘Tunakutana Nao.’
Touch ameiambia Bongo5 kuwa licha ya kutengenza hits nyingi Bongo, yeye pia ana uwezo wa kuimba vizuri na kutoboa.
“Maproducer wengi wanaimba, sema tunakuwaga hatutoagi nyimbo,” amesema. “Sisi ndio tunatengeneza muziki kwahiyo tunaujua. Wimbo wangu unaitwa Tunakutana Nao na itakuwa ni ngoma yangu ya kwanza. Sijawahi kuimba...