Diamond: Nyimbo na Video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa!
Diamond ni miongoni mwa wasanii ambao waliahidi kuachia kazi mpya baada ya uchaguzi, na kati ya kazi alizofanya, inayosubiriwa kwa hamu zaidi ni wimbo aliomshirikisha staa wa RnB kutoka Marekani, Ne-Yo.
Mpaka sasa bado haijafahamika ni wimbo/nyimbo gani atakazotangulia kuachia, kutokana na style yake ya kufanya vitu kimya kimya mpaka dakika za mwisho akiwa na kila kitu mkononi ndio huwa anaanza kutoa ishara.
Platnumz jana (Nov.9) aliandika post ambayo ni kama ishara ya kuwaandaa mashabiki...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Jan
Amini kuachia nyimbo 24 na video 24 mwaka huu
![amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/amini-300x194.jpg)
Msanii wa muziki, Amini ameweka wazi mipango yake mipya ya mwaka huu kwenye muziki wake.
Miongoni mwa mambo ambayo amepanga kuyabadilisha kwenye utaratibu wake wa kufanya muziki ni kuongeza idadi ya nyimbo ambazo huachia kwa mwaka mzima.
“Plan zangu za kwa 2016 ziko tofauti kidogo na 2015, kwasababu 2015 nilikuwa natoa nyimbo kwa kusikilizia labda wimbo mmoja unaweza ukakaa mwaka mzima.” Alisema Amini kwenye mahojiano na Bongo5.
“Lakini kwa 2016 kila mwezi nitakuwa natoa nyimbo mbili kila...
9 years ago
Bongo519 Oct
Diamond kuachia nyimbo 3 kabla mwaka haujaisha
10 years ago
Vijimambo12 Oct
10 years ago
Bongo504 Feb
Diamond kuachia nyimbo 4 mfululizo kabla ya March, ikiwemo collabo yake na Fally Ipupa
10 years ago
VijimamboKWA MTAJI HUU NDUGU ZETU PALE TANZANIA TUTAENDELEA KUWAPOTEZA SIKU HADI SIKU
9 years ago
Bongo506 Nov
Jaffarai asita kuachia wimbo mwingine mwaka huu
![jaff](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/jaff-300x194.jpg)
Rapper Jaffarai amesema ameahirisha kutoa wimbo mpya mwaka huu kutokana na masikio ya wengi kutokuwa tayari.
Rapper huyo amesema ataanza kusikika tena February mwakani kwa kile anachoamini kuwa ni mwezi wenye bahati kwake.
“Nimeona bora niache kutoa ngoma kwa sasa kwa sababu kuna vitu vingi bado vinaendelea na nimeplan kutoa ngoma mpya mwakani mwezi wa pili kwa sababu huwaga na zali sana mwezi wa pili,” ameiambia Bongo5.
“Ngoma zangu nyingi ninazofanya mwezi wa pili zinakuwa hit, kila...
9 years ago
Bongo506 Jan
Nay Wa Mitego: Mwaka huu nitaachia nyimbo sita badala ya tatu kama watu walivyozoea
![nay new2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/nay-new2-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego amesema kuwa moja ya mipango ya kuboresha kazi zake mwaka huu ni pamoja na kuongeza idadi ya nyimbo atakazoachia.
Akizungumza na MTANZANIA, Ney wa Mitego alisema amekuwa akitoa nyimbo mbili au tatu kwa mwaka lakini katika mwaka huu anataka kuachia nyimbo sita.
“Nimekuwa nikitoa nyimbo mbili kwa mwaka au tatu, kwa sasa nataka nizidi kuwapa raha mashabiki wangu kwa mambo mazuri ambayo nimewaandalia mwaka huu, nitaachia nyimbo sita badala ya tatu kama watu walivyozoea,”...
9 years ago
MichuziMWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.