Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond kuachia nyimbo 3 kabla mwaka haujaisha

Diamond Platnumz amedai kuwa kabla mwaka huu haujaisha atakuwa ameachia nyimbo 3 mpya. Diamond alisema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni wakati ya mapokezi yake katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea Marekani alikoshinda tuzo za Afrimma. “Nimeuambia uongozi kabla ya mwezi wa kwanza hapa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Diamond kuachia nyimbo 4 mfululizo kabla ya March, ikiwemo collabo yake na Fally Ipupa

Mwaka jana mwishoni (2014) baada ya Diamond kukutana na wasanii wakubwa wa Afrika wakiwemo Fally Ipupa na P-Square nchini Nigeria, alisema “nikikutana na 18 huwa naachia bonge la shuti mpaka nishinde” na kauli yake imetimia. Staa huyo wa ‘Ntampata Wapi’ amefanikiwa kufanya collabo na staa wa DRC, Fally Ipupa ambayo ni miongoni mwa nyimbo nne […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond: Nyimbo na Video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa!

Diamond ni miongoni mwa wasanii ambao waliahidi kuachia kazi mpya baada ya uchaguzi, na kati ya kazi alizofanya, inayosubiriwa kwa hamu zaidi ni wimbo aliomshirikisha staa wa RnB kutoka Marekani, Ne-Yo.

diamond p

Mpaka sasa bado haijafahamika ni wimbo/nyimbo gani atakazotangulia kuachia, kutokana na style yake ya kufanya vitu kimya kimya mpaka dakika za mwisho akiwa na kila kitu mkononi ndio huwa anaanza kutoa ishara.

Platnumz jana (Nov.9) aliandika post ambayo ni kama ishara ya kuwaandaa mashabiki...

 

9 years ago

MillardAyo

Kabla mwaka haujaisha huu ni ushindi mwingine kwa staa wa tennis duniani…

Staa wa tennis duniani Andy Murray ameingia kwenye headlines baada ya kuibuka mshindi katika nafasi ya mchezaji bora wa mchezo huo kupitia tuzo za BBC. Murray aliibuka mshindi akiwa huko huko Ireland mbele ya umati mkubwa wa watu waliohudhuria katika shughuli hiyo. Huu ni ushindi wa pili kwa Murray kupitia tuzo hizo katika kipindi cha miaka […]

The post Kabla mwaka haujaisha huu ni ushindi mwingine kwa staa wa tennis duniani… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Amini kuachia nyimbo 24 na video 24 mwaka huu

amini

Msanii wa muziki, Amini ameweka wazi mipango yake mipya ya mwaka huu kwenye muziki wake.

amini

Miongoni mwa mambo ambayo amepanga kuyabadilisha kwenye utaratibu wake wa kufanya muziki ni kuongeza idadi ya nyimbo ambazo huachia kwa mwaka mzima.

“Plan zangu za kwa 2016 ziko tofauti kidogo na 2015, kwasababu 2015 nilikuwa natoa nyimbo kwa kusikilizia labda wimbo mmoja unaweza ukakaa mwaka mzima.” Alisema Amini kwenye mahojiano na Bongo5.

“Lakini kwa 2016 kila mwezi nitakuwa natoa nyimbo mbili kila...

 

10 years ago

Vijimambo

KUMBE DIAMOND ALIFANYA NYIMBO ISHIRINI KABLA YA KUTOKA

Diamond kabla ya mafanikio.
 Kampuni ya Coca-Cola Afrika ya Kati, Mashariki na Magharibi imezindua kampeni mahsusi ijulikanayo kama ‘Sababu Bilioni za Kuamini’ inayolenga kuwahamasisha vijana wa Kitanzania kujiamini pindi wanapopita katika changamoto mbalimbali zinazowakabili kimaisha kabla ya kutimiza ndoto zao. Kampeni hiyo ya miezi mitatu itaendeshwa nchi nzima.Nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ni miongoni mwa vijana wanaotolewa mfano katika dhana hii. Alitengeneza single...

 

9 years ago

Mtanzania

Ney wa Mitego kuachia nyimbo sita

nay-wa-mitegoNA THERESIA GASPER

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Elibariki Emanuel ‘Ney wa Mitego’, amefunguka kuwa mwaka huu anataka kuja kivingine tofauti na miaka ya nyuma.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ney wa Mitego alisema amekuwa akitoa nyimbo mbili au tatu kwa mwaka lakini katika mwaka huu anataka kuachia nyimbo sita.

“Nimekuwa nikitoa nyimbo mbili kwa mwaka au tatu, kwa sasa nataka nizidi kuwapa raha mashabiki wangu kwa mambo mazuri ambayo nimewaandalia mwaka huu, nitaachia nyimbo sita...

 

9 years ago

Mtanzania

Wiz Khalifa kuachia nyimbo mpya mfululizo

2012 MTV Movie Awards - ShowNEW YORK, MAREKANI

MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, anatarajia kuachia nyimbo zake mpya Januari hii.

Msanii huyo mwezi uliopita aliachia ‘Mixtape’ lakini mwezi huu anatarajia kuachia nyimbo zake kwa mfululizo.

“Hakuna mtu yeyote ambaye anajua nini ninataka kukifanya kwa sasa, ninatarajia kuachia kazi zangu mpya mfululizo ambazo nimezipa jina la ‘Project Khalifa,” alisema Wiz.

Msanii huyo amesema kuwa mwaka huu amejipanga kuachia kazi ambazo zitasumbua kama ilivyo...

 

11 years ago

GPL

ALICHOKISEMA LULU BAADA YA ALI KIBA KUACHIA NYIMBO MPYA

Elizabeth Michael 'Lulu'. Kupitia Account yake ya Instagram msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' amefunguka kuhusiana na Ali Kiba kuachia nyimbo mbili kwa mpigo. Muonekano wa alichokisema Elizabeth Michael 'Lulu' Instagram. Hiki  ndicho alichokisema: "Haya sasa.....maelezo hatimaye…

 

10 years ago

Bongo5

Noorah: Nilikata tamaa ya kuachia nyimbo baada ya ngoma mbili kali za mwisho kuchukuliwa poa

Rapper Noorah aka Babastylez amedai kuwa sababu iliyomkatisha tamaa kuendelea kuachia nyimbo ni kuchukuliwa poa kwa ngoma zake mbili za mwisho alizozitoa ambazo yeye aliamini ni kali na zilistahili kufanya vizuri. “Kuna nyimbo mbili tatu nilizitoa zilikuwa kali sana kama ‘Chambervement’ niliyomshirikisha marehemu Magwair na ‘Mapenzi Sinema’ niliyomshirikisha Dataz, hazikufika katika kiwango ambacho zilistahili kufika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani