Ney wa Mitego kuachia nyimbo sita
NA THERESIA GASPER
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Elibariki Emanuel ‘Ney wa Mitego’, amefunguka kuwa mwaka huu anataka kuja kivingine tofauti na miaka ya nyuma.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ney wa Mitego alisema amekuwa akitoa nyimbo mbili au tatu kwa mwaka lakini katika mwaka huu anataka kuachia nyimbo sita.
“Nimekuwa nikitoa nyimbo mbili kwa mwaka au tatu, kwa sasa nataka nizidi kuwapa raha mashabiki wangu kwa mambo mazuri ambayo nimewaandalia mwaka huu, nitaachia nyimbo sita...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Jan
Nay Wa Mitego: Mwaka huu nitaachia nyimbo sita badala ya tatu kama watu walivyozoea
![nay new2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/nay-new2-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego amesema kuwa moja ya mipango ya kuboresha kazi zake mwaka huu ni pamoja na kuongeza idadi ya nyimbo atakazoachia.
Akizungumza na MTANZANIA, Ney wa Mitego alisema amekuwa akitoa nyimbo mbili au tatu kwa mwaka lakini katika mwaka huu anataka kuachia nyimbo sita.
“Nimekuwa nikitoa nyimbo mbili kwa mwaka au tatu, kwa sasa nataka nizidi kuwapa raha mashabiki wangu kwa mambo mazuri ambayo nimewaandalia mwaka huu, nitaachia nyimbo sita badala ya tatu kama watu walivyozoea,”...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Ney Lee: Najivunia Ney wa Mitego
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Neema Agrey ‘Ney Lee’ anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Akizungumza Dar es Salaam jana...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Ney Lee kuachia ‘Usinikatae’
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Neema Agrey ‘Ney Lee’, anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Msanii huyo anayetamba na kibao...
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Ney wa Mitego awafunda wasanii
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Emanueli Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amewataka wasanii wenzake kuwa na upendo na kutoa msaada kwa jamii.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ney alisema kuwa yeye ni kioo cha jamii na katika matatizo ya kibinadamu anakuwa kama mtu wa kawaida kwa kusaidia.
“Unajua sisi ni binadamu na kama umefanikiwa kwa kiasi fulani basi na wewe unatakiwa kutoa msaada kidogo ulichokua nacho, hivyo nawaasa wasanii wenzangu kujitolea,”...
11 years ago
GPL![](http://lh5.ggpht.com/-qXBmMnSQdJk/U5l842x4J5I/AAAAAAAAKx8/ffQAZfW1V7E/s640/IMG_0520.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Ney wa Mitego kutoka na Wizkid, Runtown
NA LETICIA BWIRE (TUDARCO)
MWANAHIP Hop, Ney wa Mitego, kwa mara ya kwanza amefanya wimbo wa ushirikiano na wasanii wa kimataifa kutoka nchini Nigeria, huku nyimbo hizo akipanga kuziachia mwishoni mwa mwaka huu.
Ney aliliambia MTANZANIA kwamba, wasanii alioshirikiana nao ni mkali wa wimbo wa ‘Ojogduma’, Wizkid na Runtown ambao wote ni kutoka nchini Nigeria.
“Wimbo nilioshirikiana na msanii, Runtown nitautoa mwishoni mwa mwaka huu, lakini nilioshirikiana na Wizkid nitauachia mwakani kutokana...
10 years ago
Bongo528 Aug
New Music: Samir FT. Ney wa Mitego — Nitamchezea
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Ney wa Mitego aanika jeuri yake
NA SHARIFA MMASI
MSANII wa muziki wa hip hop, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema wazazi wake walimfundisha heshima si kumuogopa mtu.
Ney alidai familia yake imemfunza nidhamu ya heshima na kuwa muwazi kwa anachoamini si sawa kwa jamii inayomzunguka.
“Ni kweli mimi nina jeuri ambayo watu wengi inawakera, lakini hawajui kwa nini niko hivyo, jeuri yangu huwa naifanya inapobidi na inatokana na mafunzo niliyofunzwa kutoka kwa wazazi wangu,’’ alisema Ney wa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Ney wa Mitego awachongea wenzake BASATA
MKALI wa hip hop nchini, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amelitaka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kuwachukulia hatua wasanii ambao wanatumia maneno ya matusi kwenye nyimbo zao. Ney amesema...