Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKOKO MPYA WA NEY WA MITEGO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Baada ya kuachana na Nay Wa Mitego,mambo yamnyookea Siwema,aanika mkoko wake mpya.

Mambo yameanza kumnyookea mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego,Siwema baada ya kuanika mkoko wake mpya mtandaoni.

Nay Wa Mitego na Siwema wapo kwenye mgogoro hadi kufikia hatua msanii huyo kumchukua mtoto wake ambaye hivi sasa analelewa na mama yake Nay. Kupitia mtandao wa Instagram Siwema aliwahi kulalamika kuwa Nay Wa Mitego alimrudisha nyuma kimaendeleo.

Baadhi ya maneno hayo yalisomeka hivi….leo unatangaza umeninunulia gari,unanipa kila kitu..nay nini umenipa?gari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego

Daynaaa

Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.

Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.

nyangeMsanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ney Lee: Najivunia Ney wa Mitego

MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Neema Agrey ‘Ney Lee’ anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Akizungumza Dar es Salaam jana...

 

10 years ago

Mtanzania

Ney wa Mitego awafunda wasanii

neyNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Emanueli Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amewataka wasanii wenzake kuwa na upendo na kutoa msaada kwa jamii.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ney alisema kuwa yeye ni kioo cha jamii na katika matatizo ya kibinadamu anakuwa kama mtu wa kawaida kwa kusaidia.
“Unajua sisi ni binadamu na kama umefanikiwa kwa kiasi fulani basi na wewe unatakiwa kutoa msaada kidogo ulichokua nacho, hivyo nawaasa wasanii wenzangu kujitolea,”...

 

9 years ago

Mtanzania

Ney wa Mitego aanika jeuri yake

nnNA SHARIFA MMASI

MSANII wa muziki wa hip hop, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema wazazi wake walimfundisha heshima si kumuogopa mtu.

Ney alidai familia yake imemfunza nidhamu ya heshima na kuwa muwazi kwa anachoamini si sawa kwa jamii inayomzunguka.

“Ni kweli mimi nina jeuri ambayo watu wengi inawakera, lakini hawajui kwa nini niko hivyo, jeuri yangu huwa naifanya inapobidi na inatokana na mafunzo niliyofunzwa kutoka kwa wazazi wangu,’’ alisema Ney wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Ney wa Mitego kuachia nyimbo sita

nay-wa-mitegoNA THERESIA GASPER

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Elibariki Emanuel ‘Ney wa Mitego’, amefunguka kuwa mwaka huu anataka kuja kivingine tofauti na miaka ya nyuma.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ney wa Mitego alisema amekuwa akitoa nyimbo mbili au tatu kwa mwaka lakini katika mwaka huu anataka kuachia nyimbo sita.

“Nimekuwa nikitoa nyimbo mbili kwa mwaka au tatu, kwa sasa nataka nizidi kuwapa raha mashabiki wangu kwa mambo mazuri ambayo nimewaandalia mwaka huu, nitaachia nyimbo sita...

 

9 years ago

Mtanzania

Ney wa Mitego kutoka na Wizkid, Runtown

Nay-Wa-MitegoNA LETICIA BWIRE (TUDARCO)

MWANAHIP Hop, Ney wa Mitego, kwa mara ya kwanza amefanya wimbo wa ushirikiano na wasanii wa kimataifa kutoka nchini Nigeria, huku nyimbo hizo akipanga kuziachia mwishoni mwa mwaka huu.

Ney aliliambia MTANZANIA kwamba, wasanii alioshirikiana nao ni mkali wa wimbo wa ‘Ojogduma’, Wizkid na Runtown ambao wote ni kutoka nchini Nigeria.

“Wimbo nilioshirikiana na msanii, Runtown nitautoa mwishoni mwa mwaka huu, lakini nilioshirikiana na Wizkid nitauachia mwakani kutokana...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Samir FT. Ney wa Mitego — Nitamchezea

Hii ni ngoma mpya kutoka kwa Samir akimshirikisha Ney wa Mitego ngoma inaitwa “Nitamchezea” Producer Mr T Touch

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ney wa Mitego awachongea wenzake BASATA

MKALI wa hip hop nchini, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amelitaka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kuwachukulia hatua wasanii ambao wanatumia maneno ya matusi kwenye nyimbo zao. Ney amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani