Rich Mavoko: Sijaachia wimbo wala kwa sasa sina mpango wa kuachia wimbo
Kama wewe ni shabiki wa mtoto wa mama Richard, Rich Mavoko inabidi uwe na subira kwasababu muimbaji huyo wa ‘Pacha Wangu’ amesema hana mpango wa kutoa wimbo mpya hivi karibuni. Wiki hii kuna wimbo wa Rich Mavoko unaoitwa Ongea Nae’ umesambaa kwenye baadhi ya blogs na hata kuzifikia radio mbalimbali mikoani ikiaminika ni single yake […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-C1iVvksiKaE/VCWQxCoPTgI/AAAAAAAABLY/KH-PhtMiLhM/s72-c/Rich%2BMavoko%2B-%2BPacha%2Bwangu.jpg)
9 years ago
Bongo523 Nov
Darasa kufunga mwaka na wimbo ‘Uchizi Nidate’ akiwa na Rich Mavoko
![12256793_1144325638930753_542720042_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12256793_1144325638930753_542720042_n-300x194.jpg)
Rapa Darasa anayetamba na wimbo Heya Haye, amesema atafunga mwaka na wimbo mpya ‘Uchizi Nidate’ aliyomshirikisha Rich Mavoko.
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Darasa alisema kazi hiyo itatoka audio pamoja na video.
“Tunafunga mwaka na kazi mpya ambayo tayari tumesharekodi chini ya producer Alba, kwenye wimbo nipo na Rich Mavoko, ni wimbo fulani mzuri ambayo natumaini utapokewa vizuri na mashabiki. Kwa upande wa video ni mwendelezo wa video kali. Mashabiki walishalalamika sana kwenye...
10 years ago
GPL11 Jun
9 years ago
Bongo509 Nov
Sina mpango wa kuzaa kwa sasa — Aika
![12105167_1506010783031014_240686127_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12105167_1506010783031014_240686127_n-300x194.jpg)
Member wa kundi la Navy Kenzo, Aika amesema hana mpango wa kuwa mtoto kwa sasa.
Aika ambaye ni mpenzi wa producer Nahreel anayeunda naye kundi la Navy Kenzo, aliiambia Radio Five ya Arusha kuwa haitaji mtoto kwa sasa kwa kuwa bado anajipanga.
“Mtoto sasa hivi nitakuwa namtesa kumleta kwenye haya mazingira na mimi ndo nimeanza kutafuta, kujenga muziki wetu,” alisema.
“Ningependa nimlete wakati mambo yangu pia yametulia ili aingie kwenye maisha mazuri. Mtoto akikuta maisha mazuri na yeye...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wangechi kuachia wimbo mpya na Ne-Yo
NAIROBI, KENYA
MSANII wa muziki nchini Kenya, Wangechi Mutu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao amefanya na mkali wa RnB kutoka nchini Marekani, Ne-Yo.
Wimbo huo uliandaliwa tangu Agosti mwaka huu, hivyo unatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa wiki hii huku jina likitarajiwa kutajwa wakati wa utambulisho wa wimbo huo.
“Wimbo ulikuwa tayari muda mrefu, lakini mambo hayakuwa sawa, ila kwa sasa kila kitu kimekamilika na hii ni wiki ya kuachia ngoma hiyo, jina la wimbo litajulikana wakati wa...
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Rais Museveni kuachia wimbo mpya
KAMPALA, UGANDA
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao ameupa jina la ‘Kwezi’ utakaokuwa unachangia shughuli za kampeni za uchaguzi.
Kwezi utakuwa ni wimbo wake wa tatu ndani ya miaka mitano mara baada ya kuachia wimbo wa Mpenkoni, ambao ulitumika sana katika kampeni za uchaguzi mwaka 2011.
Mpaka sasa rais huyo hajapanga siku ya kuuachia, lakini inasemekana ni siku za hivi karibuni kwa kuwa tayari amekaa na baadhi ya wataalamu wa muziki na kuupitia wimbo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lO1nR1WSZXvwcdj99TuuPqxi18MC2wwICQqN7c6Rs1jmUfyu-xLyvbnjg93J25kgBhKSwXWhT6L8jzTJOi16f0xb8TOa5C5-/amini80.jpg)
9 years ago
Bongo504 Dec
Producer Mr T Touch kuachia wimbo wake
![11355775_382648741933156_266982867_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11355775_382648741933156_266982867_n-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki kutoka studio za ‘Free Nation’, Mr T Touch ameweka wazi mpango wake wa kuanza kuimba huku akijipanga kuachia wimbo wake uitwao ‘Tunakutana Nao.’
Touch ameiambia Bongo5 kuwa licha ya kutengenza hits nyingi Bongo, yeye pia ana uwezo wa kuimba vizuri na kutoboa.
“Maproducer wengi wanaimba, sema tunakuwaga hatutoagi nyimbo,” amesema. “Sisi ndio tunatengeneza muziki kwahiyo tunaujua. Wimbo wangu unaitwa Tunakutana Nao na itakuwa ni ngoma yangu ya kwanza. Sijawahi kuimba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t4lRGZ5APQuZO761cBXZcy1zaYP9hXAnnjbRjX4TyK-PfG-VzZJ4zudS-qjxvq2iHEl3aHHV2wnAhr0fJsTdsjmEppnUNE1b/IMG_2164.jpg?width=750)