Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Darasa kufunga mwaka na wimbo ‘Uchizi Nidate’ akiwa na Rich Mavoko

12256793_1144325638930753_542720042_n

Rapa Darasa anayetamba na wimbo Heya Haye, amesema atafunga mwaka na wimbo mpya ‘Uchizi Nidate’ aliyomshirikisha Rich Mavoko.
12256793_1144325638930753_542720042_n

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Darasa alisema kazi hiyo itatoka audio pamoja na video.

“Tunafunga mwaka na kazi mpya ambayo tayari tumesharekodi chini ya producer Alba, kwenye wimbo nipo na Rich Mavoko, ni wimbo fulani mzuri ambayo natumaini utapokewa vizuri na mashabiki. Kwa upande wa video ni mwendelezo wa video kali. Mashabiki walishalalamika sana kwenye...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Rich Mavoko: Sijaachia wimbo wala kwa sasa sina mpango wa kuachia wimbo

Kama wewe ni shabiki wa mtoto wa mama Richard, Rich Mavoko inabidi uwe na subira kwasababu muimbaji huyo wa ‘Pacha Wangu’ amesema hana mpango wa kutoa wimbo mpya hivi karibuni. Wiki hii kuna wimbo wa Rich Mavoko unaoitwa Ongea Nae’ umesambaa kwenye baadhi ya blogs na hata kuzifikia radio mbalimbali mikoani ikiaminika ni single yake […]

 

9 years ago

Bongo5

Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja

mavoko new

Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.

mavoko new

Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.

“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”

Mavoko aliendelea,

“lakini kusuasua...

 

9 years ago

Bongo5

Yamoto Band kufunga mwaka na wimbo mpya ‘Mama’

Yamoto band

Kundi la muziki linalofanya vizuri na wimbo wake Cheza Kimadoido, Yamoto Band wanajipanga kufunga mwaka na wimbo wao mpya uitwao Mama.

Yamoto band

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni meneja wa Yamoto Band, Said Fella alisema kabla wasanii hao hawajasafiri kuelekea nchini Marekani kwaajili ya show tatu, wataachia wimbo mpya utakaofunga mwaka.

“Tarehe 25 mwezi huu watasafiri kuelekea Marekani kwaajili show. Tarehe 27 watafanya show ya kwanza, watafanya tena Houston halafu watamalizia Washington DC,”...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko aeleza ya moyoni

MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Rich Mavoko — Tururu

Hii ndo ngoma Mpya kutoka kwa Rich Mavoko ngoma inaitwa “Tururu” imefanyika katika Studio za Sharo Baro Records Producer Bab Junior

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani