Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja
Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.
Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.
“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”
Mavoko aliendelea,
“lakini kusuasua...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)
![12237118_1529233004034970_1250876929_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237118_1529233004034970_1250876929_n-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.
Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.
Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.
“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...
10 years ago
Bongo516 Mar
Wasanii wa kuimba hatushirikishani kwasababu kila mmoja anamtegea mwenzie amuanze — Rich Mavoko
9 years ago
Bongo523 Nov
Darasa kufunga mwaka na wimbo ‘Uchizi Nidate’ akiwa na Rich Mavoko
![12256793_1144325638930753_542720042_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12256793_1144325638930753_542720042_n-300x194.jpg)
Rapa Darasa anayetamba na wimbo Heya Haye, amesema atafunga mwaka na wimbo mpya ‘Uchizi Nidate’ aliyomshirikisha Rich Mavoko.
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Darasa alisema kazi hiyo itatoka audio pamoja na video.
“Tunafunga mwaka na kazi mpya ambayo tayari tumesharekodi chini ya producer Alba, kwenye wimbo nipo na Rich Mavoko, ni wimbo fulani mzuri ambayo natumaini utapokewa vizuri na mashabiki. Kwa upande wa video ni mwendelezo wa video kali. Mashabiki walishalalamika sana kwenye...
9 years ago
Bongo521 Dec
Mwana FA ataja sababu kuu za kwanini amekuwa akitoa ngoma chake kwa mwaka (Video)
![12301206_416545988542834_2103460087_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301206_416545988542834_2103460087_n-1-300x194.jpg)
Mwana FA si mtu wa kutoa nyimbo nyingi kwa mwaka. Kwanini? Hizi ni sababu tatu alizozitoa baada ya kukaa na kuzungumza na sisi.
“Naona sina vitu vingi vya kuprove. Kwasababu kama mtu amefika mahali sasa hivi haamini kama nina uwezo, nitakuwa sina uwezo tena wa kumbadilisha,” amesema Mwana FA.
“Muziki mzuri unahitaji muda. Mimi nisharekodi ngoma inakaa mwaka mzima, baadaye tukija tukitaka kuitoa tunakuja tunarekodi tena. Nisharekodi ngoma mara nne kama Kama Zamani ile. Na nafikiri hili...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Dk. Mwaka ataja sababu za vifo vya watoto
MAELEWANO mabaya kati ya wagonjwa na wauguzi ni miongoni mwa sababu zinazochangia vifo vya watoto wakati wa kujifungua. Hayo yalibainishwa na Daktari wa ForePlan Clinic, Juma Mwaka, alipozungumza na wahariri...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rGJ33R_gkjk/TwwZ1T-rKQI/AAAAAAAA5S0/2dzuaHIMJS8/s72-c/Tanzanian%252520Prime%252520Minister%252520Mizengo%252520K%252520Pinda--277x250--1.jpg)
Mwaka mmoja kabla ya uchaguzi, wananchi wengi hawajaamua nani awe Rais
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGJ33R_gkjk/TwwZ1T-rKQI/AAAAAAAA5S0/2dzuaHIMJS8/s200/Tanzanian%252520Prime%252520Minister%252520Mizengo%252520K%252520Pinda--277x250--1.jpg)
![](http://ikulu2015.files.wordpress.com/2012/12/mbatia.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-iVdAUebR1U0/TYM-D--dXQI/AAAAAAAAC0s/opDNiav-IOs/s200/sumaye1.jpg)
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/12/Lowassa.jpg)
![](http://chadema.or.tz/wp-content/uploads/2013/11/Freeman-Mbowe.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2YeyqBGRdF4/TfOtjqup6OI/AAAAAAABAD0/6StUJY0HRZc/s200/prof.jpg)
![](http://bgi.atomicka.in/grove2/fmf/userfiles/Hon_%20Stephen%20Masato%20Wasira.png)
![](http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2008/01/drslaa3bc.jpg?w=299&h=448)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cbj2bbrxDO4/UXd8ZIVIeCI/AAAAAAAAFyI/P3bCgCTPQjo/s200/Zitto-Kabwe.jpg)
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2013/03/sitta.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yhFchyBwHWw/UbBfHwFPd1I/AAAAAAAARTY/JRXQsVyMveU/s200/makamba.jpg)
9 years ago
Bongo519 Oct
Kuna umuhimu kwa msanii kuwa na wakala kwenye nchi nyingine — Rich Mavoko
9 years ago
Bongo506 Oct
Msanii kuonesha mali zake mtandaoni ni kutoa shukurani kwa mashabiki — Rich Mavoko