Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja

mavoko new

Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.

mavoko new

Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.

“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”

Mavoko aliendelea,

“lakini kusuasua...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)

12237118_1529233004034970_1250876929_n

Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.

12237118_1529233004034970_1250876929_n

Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.

12063030_1530223823934828_471941929_n

Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.

11348237_1503111093350453_1728178375_n

“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...

 

10 years ago

Bongo5

Wasanii wa kuimba hatushirikishani kwasababu kila mmoja anamtegea mwenzie amuanze — Rich Mavoko

Msanii wa bongo fleva Rich Mavoko amesema kuwa wasanii wengi wa Bongo fleva huwa hawashirikishani katika kazi zao kutokana na kila msanii kumtegea msanii mwingine ndiyo amuanze kumfata na kumuomba wafanye kazi. “Kuhusu swala la kufanya nyimbo mi nafikiri kila mtu anategemea mwenzake atamuanza, atampigia simu ooh bwana nataka kufanya nyimbo na wewe lakini kila […]

 

9 years ago

Bongo5

Darasa kufunga mwaka na wimbo ‘Uchizi Nidate’ akiwa na Rich Mavoko

12256793_1144325638930753_542720042_n

Rapa Darasa anayetamba na wimbo Heya Haye, amesema atafunga mwaka na wimbo mpya ‘Uchizi Nidate’ aliyomshirikisha Rich Mavoko.
12256793_1144325638930753_542720042_n

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Darasa alisema kazi hiyo itatoka audio pamoja na video.

“Tunafunga mwaka na kazi mpya ambayo tayari tumesharekodi chini ya producer Alba, kwenye wimbo nipo na Rich Mavoko, ni wimbo fulani mzuri ambayo natumaini utapokewa vizuri na mashabiki. Kwa upande wa video ni mwendelezo wa video kali. Mashabiki walishalalamika sana kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA ataja sababu kuu za kwanini amekuwa akitoa ngoma chake kwa mwaka (Video)

12301206_416545988542834_2103460087_n

Mwana FA si mtu wa kutoa nyimbo nyingi kwa mwaka. Kwanini? Hizi ni sababu tatu alizozitoa baada ya kukaa na kuzungumza na sisi.

“Naona sina vitu vingi vya kuprove. Kwasababu kama mtu amefika mahali sasa hivi haamini kama nina uwezo, nitakuwa sina uwezo tena wa kumbadilisha,” amesema Mwana FA.

“Muziki mzuri unahitaji muda. Mimi nisharekodi ngoma inakaa mwaka mzima, baadaye tukija tukitaka kuitoa tunakuja tunarekodi tena. Nisharekodi ngoma mara nne kama Kama Zamani ile. Na nafikiri hili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mwaka ataja sababu za vifo vya watoto

MAELEWANO mabaya kati ya wagonjwa na wauguzi ni miongoni mwa sababu zinazochangia vifo vya watoto wakati wa kujifungua. Hayo yalibainishwa na Daktari wa ForePlan Clinic,  Juma Mwaka, alipozungumza na wahariri...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwaka mmoja kabla ya uchaguzi, wananchi wengi hawajaamua nani awe Rais

Watanzania wengi hawaridhiki na utendaji wa wabunge na hawatawachagua tena12 Novemba 2014, Dar es Salaam: Mwananchi mmoja kati ya watatu (33%) Tanzania Bara hajui ni nani atayekuwa chaguo lake la Rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Hakuna mgombea hata mmoja anayependwa na wapiga kura kwa zaidi ya 15%. Kwa mujibu wa takwimu zilizokusanywa na Twaweza mwezi Septemba 2014, anayeongoza ni Edward Lowassa (13%) akifuatiwa na Mizengo Pinda (12%) wote wa CCM, na watatu ni Dkt. Wilbrod Slaa wa Chadema...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna umuhimu kwa msanii kuwa na wakala kwenye nchi nyingine — Rich Mavoko

Rich Mavoko amesema kuwa ni muhimu kwa wasanii kuwa na mawakala katika nchi zingine watakaokuwa wakisimamia kazi za wasanii hao kwenye nchi hizo ikiwa ni pamoja na kutafutiwa shows. “Kuna umuhimu kwa wasanii kama sisi Watanzania ambao wengi wao tunaamini kwamba kazi zetu hazifiki mbali, kwahiyo unatakiwa uwe na mtu anafatilia kazi zako,” alisema Mavoko […]

 

9 years ago

Bongo5

Msanii kuonesha mali zake mtandaoni ni kutoa shukurani kwa mashabiki — Rich Mavoko

Watu maarufu wamekuwa na kawaida ya kushare mambo yao katika mitandao ya kijamii, hii ikiwa ni pamoja na maisha binafsi na kuonesha mali walizochuma kupitia kazi zao. Kwa mastaa wa bongo, baadhi yao hawapendi ‘kuringishia’ mali zao mitandaoni huku wengine akiwemo staa wa muziki Rich Mavoko wanaunga mkono tabia hiyo. Mavoko anaamini kwa kuonesha mali […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani