Mwaka mmoja kabla ya uchaguzi, wananchi wengi hawajaamua nani awe Rais
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGJ33R_gkjk/TwwZ1T-rKQI/AAAAAAAA5S0/2dzuaHIMJS8/s72-c/Tanzanian%252520Prime%252520Minister%252520Mizengo%252520K%252520Pinda--277x250--1.jpg)
Watanzania wengi hawaridhiki na utendaji wa wabunge na hawatawachagua tena12 Novemba 2014, Dar es Salaam: Mwananchi mmoja kati ya watatu (33%) Tanzania Bara hajui ni nani atayekuwa chaguo lake la Rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Hakuna mgombea hata mmoja anayependwa na wapiga kura kwa zaidi ya 15%. Kwa mujibu wa takwimu zilizokusanywa na Twaweza mwezi Septemba 2014, anayeongoza ni Edward Lowassa (13%) akifuatiwa na Mizengo Pinda (12%) wote wa CCM, na watatu ni Dkt. Wilbrod Slaa wa Chadema...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Nov
Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja
![mavoko new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mavoko-new-300x194.jpg)
Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.
Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.
“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”
Mavoko aliendelea,
“lakini kusuasua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hf-ryTpxXBO9nPGcclp6Aty1L513u20v2GBaTKDGqonDt27Gfa*aB5yekO7bA*WrF5POuAeIyadLiSZ3hDu0AmVlCmI-iR*U/KIEMBE.jpg?width=650)
WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA KIEMBESAMAKI
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mgimwa: Niliahidi kuwatumikia wananchi wa kalenga nimefanikiwa kwa asilimia 99 ndani ya mwaka mmoja pekee
![](http://2.bp.blogspot.com/-HAYCythkYck/VZuyEn-PZbI/AAAAAAAB-lc/sc3kAbdoR1s/s640/1.jpg)
Mbunge Mgimwa katikati akitazama nguzo za umeme katika kata ya Mgama.
WAKATI wabunge wakiwa mbioni kumaliza muda wao mbunge wa jimbo la Kalenga Bw. Godfrey Mgimwa amesema kuwa kwa kipindi chake cha mwaka mmoja kama mbunge wa jimbo hilo la Kalenga amesema anamshukuru Mungu katika safari yake ya kuwatumikia wananchi wa jimbo la Kalenga kwa kufanikisha kutekeleza ahadi zake kwa asilimia 99.9 ndani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmqYnelX9XwE78fOYFF86qNzIWuAl4ys9gwR-pyNEEvNmWb3ywMxtG*w2xgFL9KEJ4hst0jtjW*pZu8R*I4B1GS-/mahaba.jpg?width=650)
MWANAMKE KABLA YA NDOA, ANATAKIWA AWE‘AMETOKA’ NA WANAUME WANGAPI?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPrLLXuRuu7nmZ4sGTAmsU63VfcT79ni*6x54FjEVpfV7RTaKQ5SbYKMh1AFSe8oN6zn37LHepKarSUFR9fkyXIkfeEuNepA/mahaba.jpg)
MWANAMKE KABLA YA NDOA, ANATAKIWA AWE ‘AMETOKA’ NA WANAUME WANGAPI?
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi
Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...
11 years ago
Michuzi11 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s72-c/CCM-Logo.jpg)
RATIBA KAMILI YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CCM WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-2UqxRLJbjRQ/XuPNLqMOWII/AAAAAAALto8/NI3bvMiYS58G8AkzuIzFy1cqjfcDlF7TACLcBGAsYHQ/s640/CCM-Logo.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIANATAREHESHUGHULI/MAELEZO115 – 30/06/2020Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.215 – 30/06/2020Kutafuta wadhamini Mikoani.VIKAO VYA UCHUJAJI306 – 07/07/2020Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.408/07/2020Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.509/07/2020Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa: Kufikiria na kutoa Mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa...
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.
Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.
Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...