Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.
Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.
Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 May
TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA BURUNDI BAADA YA SERIKALI YA NCHI HIYO KUPINDULIWA.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/13/150513155113_jenerali_niyombareh_aliyetangaza_kumpindua_rais_nkurunzinza_640x360_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/13/150513155644_rais_nkurunzinza_624x351_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/13/150513153213_rais_wa_kenya_akiwasili_kwenye__mkutano_huo_wa_kanda_ya_afrika_mashariki__640x360_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/19/150319192303_kikwete_nkurunziza_640x360_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/29/150329010856_ban_ki_moon_624x351_epa.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504143105_burundi_640x360_ap.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/13/150513174302_burundirais_nkurunzinza_apinduliwa__640x360_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/13/150513174457_burundirais_nkurunzinza_apinduliwa__640x360_bbc_nocredit.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Kampeni ya kurudisha UDA mikononi mwa wananchi — 2
NINA uhakika mtu anaweza kujaribu kukusanya takwimu sahihi zaidi na kwa njia ya kisayansi zaidi kuweza kuona ni kwa kiasi gani niko mbali na ukweli. Sasa ni wazi mfano huo...
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Kiongozi wa zamani Israel Ehud Olmert kufungwa jela
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
5 years ago
CCM Blog28 May
VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI
![Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kazi](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F700/production/_112523236_42c0b123-452d-4535-9760-e1b80fb3f1fe.jpg)
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Rwanda - Ingabire kufungwa miaka 15 jela
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNV3o*LlFmAB64HIQvvNJxRNI0fcnbhFcEau1W7FJavKJFkOS62xUlVIsRehbuKimfz27-8ulqBu2RMilWAw4I8o/diamond.jpg)
DIAMOND KUFUNGWA JELA MIAKA MITATU!
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zo7KFqYiomQ/VXXA_vuS4jI/AAAAAAAHdE4/sYwJp4cOhI4/s72-c/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
CHUO KIKUU CHA NELSON MANDELA KUNUFAIKA NA USHIRIKIANO KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zo7KFqYiomQ/VXXA_vuS4jI/AAAAAAAHdE4/sYwJp4cOhI4/s640/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6dvvDJGxgQY/VXXA_zbs3gI/AAAAAAAHdE8/1FkNwoyToZc/s640/unnamed%2B%252898%2529.jpg)