TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA BURUNDI BAADA YA SERIKALI YA NCHI HIYO KUPINDULIWA.
Kiongozi wa ''Mapinduzi'' kwa upande wake Meja Jenerali Godefroid Niyombare
Rais Nkurunzinza hajulikani aliko
Rais Uhuru Kenyatta akiwa Tanzania
Rais kikwete alipohutubia waandishi wa habari Dar es Salaam akiandamana na Rais Nkurunzinza
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa BurundiKwa picha zaidi bofya zaidi
Wanajeshi wakitangamana na raia barabarani Bujumbura
Wanajeshi na raia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Jan
TASWIRA YA VIMONDO VYA CHAMLASHAMLA YA MWAKA MPYA KUTOKA NCHI MBALIMBALI DUNIA
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/12/31/2458F96400000578-2892275-image-m-96_1420038455199.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/01/245A049200000578-2892866-image-a-37_1420072213291.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/01/245A033400000578-2892866-image-a-30_1420071597874.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/01/2459FFAD00000578-2892866-image-a-24_1420071197205.jpg)
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.
Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.
Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...
10 years ago
Michuzitaswira mbalimbali kutoka mikoani
10 years ago
MichuziTASWIRA MBALIMBALI KUTOKA ZIWA NYASA LEO
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sRjb13Jb8bw/U6BT1l-W4UI/AAAAAAAFrTk/-O9zRa1Djus/s72-c/unnamed+(53).jpg)
TASWIRA MBALIMBALI ZA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-sRjb13Jb8bw/U6BT1l-W4UI/AAAAAAAFrTk/-O9zRa1Djus/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sUMsFYoRKY4/U6BT2RkRUoI/AAAAAAAFrT4/aP7qv44TqmA/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PUiPNZ03tyY/U6BSnc3pYrI/AAAAAAAFrTI/GITQe--Cb7Q/s1600/unnamed+%252876%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Taswira mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma leo
Spika wa Bunge, Anne Makinda akiongozwa na Mpambe kuingia kwenye ukumbi wa Bunge Januari 27, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mwanasheria Mkuu wa Serikali akiapa Bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Mwanasheria Mkuu wa serikali, George Masaju (wapili kulia) baada ya mwanasheria huyo kuapishwa Bugeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua nasari, Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrPr4f-SN110Llx4KmBS83RArSXkciAummPSpjPQ4Wr8QjTjrc1uTCYDLoT2xVIMeaVvNdnaqBi8T-rT8VHjIKz5/150513134408_burundirais_nkurunzinza_apinduliwa__640x360_bbc_nocredit.jpg)
WANANCHI WA BURUNDI WASHANGILIA KUPINDULIWA KWA RAIS NKURUNZINZA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XHl5qMBfaD0/VaF6SzG9OvI/AAAAAAAHo4A/yN1VowxD-4g/s72-c/MMGL1590.jpg)
TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHl5qMBfaD0/VaF6SzG9OvI/AAAAAAAHo4A/yN1VowxD-4g/s640/MMGL1590.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1Cw9cuSkZ-E/VaF6d5Ch68I/AAAAAAAHo4c/ydL1hK1-Luw/s640/MMGL1515.jpg)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya...