TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHl5qMBfaD0/VaF6SzG9OvI/AAAAAAAHo4A/yN1VowxD-4g/s72-c/MMGL1590.jpg)
Meza Kuu ikiongowa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete tayari kwa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi unaoendelea usiku huu kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya Kuelekea Chuo Kikuu cha UDOM, Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sRjb13Jb8bw/U6BT1l-W4UI/AAAAAAAFrTk/-O9zRa1Djus/s72-c/unnamed+(53).jpg)
TASWIRA MBALIMBALI ZA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-sRjb13Jb8bw/U6BT1l-W4UI/AAAAAAAFrTk/-O9zRa1Djus/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sUMsFYoRKY4/U6BT2RkRUoI/AAAAAAAFrT4/aP7qv44TqmA/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PUiPNZ03tyY/U6BSnc3pYrI/AAAAAAAFrTI/GITQe--Cb7Q/s1600/unnamed+%252876%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Taswira mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma leo
Spika wa Bunge, Anne Makinda akiongozwa na Mpambe kuingia kwenye ukumbi wa Bunge Januari 27, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mwanasheria Mkuu wa Serikali akiapa Bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Mwanasheria Mkuu wa serikali, George Masaju (wapili kulia) baada ya mwanasheria huyo kuapishwa Bugeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua nasari, Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s72-c/IMGL0622.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s640/IMGL0622.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pZtwWjf61VA/VaJodZi-wZI/AAAAAAAHpBM/i5ZVPFCDU78/s640/IMGL0621.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LE52u3rOGIY/VaJpp0bu0tI/AAAAAAAHpBs/BdcKBrVYaso/s640/IMGL0248.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8hXvdlETxLo/VaJr-Wa5PQI/AAAAAAAHpDg/UbBEJo7VsS8/s640/IMG_3887%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s72-c/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
NEWS UPDATES KUTOKA CCM DODOMA USIKU HUU: USIRI WATAWALA TANO BORA YA WAGOMEA WA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s640/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z4Uq9w0zHLs/VaBGzn6DqgI/AAAAAAAHolI/Nu6JVNE1TzU/s640/MMGL0557%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A4cH7mxufzM/VaBGuZJB5HI/AAAAAAAHok8/CYZljJxlGHo/s640/IMG_8016%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda kutoka Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa kauli kuhusu mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto , Bungeni mjini Dodoma Novembe 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu,...
10 years ago
Michuzitaswira kutoka kwenye mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Mjini Abijah, Ivory coast
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
AUDIO za hotuba mbalimbali kwenye mkutano mkuu wa CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Conveition Centre), uliopo Mjini Dodoma.
Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM Zanzibar 2015
Hotuba Ya Dr Asha – Rose Migiro kukubali yatokeo ya mkutano Mkuu wa CCM 2015
Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali kukubali matokeo ya mkutano mkuu wa CCM 2015
Hotuba Ya Dr John Pombe Magufuli...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-d59iIJUBwKI/VaGkV-GKBTI/AAAAAAAAwhU/qH90pCm4bAU/s72-c/DSC_0007.jpg)
PICHA: MKUTANO MKUU MAALUM WA UCHAGUZI WA MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM WAFANYIKA USIKU HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-d59iIJUBwKI/VaGkV-GKBTI/AAAAAAAAwhU/qH90pCm4bAU/s640/DSC_0007.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Matukio mbalimbali Waziri Mkuu Pinda kutoka Bunge mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Wajumbe wa...