taswira kutoka kwenye mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Mjini Abijah, Ivory coast
Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Katika Benki ya Maendeleo ya Afrika,Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali akitetajambo na Mawaziri wa Fedha mbalimbali waliohudhuria mkutano huo Mjini Abijah-Ivory coast.
Baadhi ya Marais wa Afrika waliohudhuria mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Mjini Abijah-Ivory coast.
Rais wa Benki wa Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Donald Kaberuka akiwa kwenye kikao na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog31 May
Tanzania yashiriki mkutano wa kujadili changamoto za maendeleo Afrika mjini Abijah-Ivory Coast
Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Katika Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali akisikiliza majadiliano kwenye kikao cha magava wa nchi za Afrika wakati wa kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo Mjini Abijah-Ivory.
Rais wa Benki wa Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Donald Kaberuka akiwa kwenye kikao na Magavana wa Afrika wakijadiliana changamoto mbalimbali za maendeleo zilizojitoketeza katika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--tH_gwmr1rQ/U3z-6rv1CBI/AAAAAAAFkU4/4hBqJRQ3KOU/s72-c/unnamed+(33).jpg)
TASWIRA MBALIMBALI ZA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA (AFDB) UNAOFANYIKA KIGALIi, RWANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/--tH_gwmr1rQ/U3z-6rv1CBI/AAAAAAAFkU4/4hBqJRQ3KOU/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4gSc7H8OQQ/U3z-6uHbB3I/AAAAAAAFkVE/pr87UhbucSs/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2iMkb05B9rE/U3z-6qgH9FI/AAAAAAAFkVA/efCjmuHJAl0/s1600/unnamed+(35).jpg)
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA BENKI YA MAENDELEA AFRIKA ABIJAN NCHINI IVORY COAST
11 years ago
Dewji Blog23 May
Rais Kagame afungua rasmi mkutano wa mwaka wa Benki ya Maendeleo ya afrika (AfDB) unaofanyika jijini Kigali Rwanda
Baadhi ya Viongozi Wakuu wa Afrika waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ambao ulifunguliwa na Mh.Rais wa Rwanda Paul Kagame. Mh.Kagame katika hotuba yake alisisitiza kuzijengea uwezo sekta binafsi ili Afrika iweze kufikia uchumi wa kati kwa kipindi cha Miaka 50 ijayo. Aidha katika kufikia lengo hilo Rais Kagame alisema hatuna budi Afrika kuachana na Migogoro na kutekeleza kwa vitendo makubaliano yanayoafikiwa na Viongozi wa Afrika ili kujenga uchumi imara...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XHl5qMBfaD0/VaF6SzG9OvI/AAAAAAAHo4A/yN1VowxD-4g/s72-c/MMGL1590.jpg)
TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHl5qMBfaD0/VaF6SzG9OvI/AAAAAAAHo4A/yN1VowxD-4g/s640/MMGL1590.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1Cw9cuSkZ-E/VaF6d5Ch68I/AAAAAAAHo4c/ydL1hK1-Luw/s640/MMGL1515.jpg)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dT_OYxxldig/U9CtouVA7LI/AAAAAAAF5a0/kQ_6cy1stqo/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Tanzania yapandishwa hadhi katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dT_OYxxldig/U9CtouVA7LI/AAAAAAAF5a0/kQ_6cy1stqo/s1600/unnamed+(7).jpg)
5 years ago
MichuziBenki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14
11 years ago
Dewji Blog20 May
Waziri wa Fedha ahudhuria mkuatano wa mwaka wa benki ya Maendeleao ya Afrika (AfDB) unaofanyika mjini Kigali — Rwanda
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini Bw.Patrick Diamini (wa kwanza kushoto) Mjini Kigali Rwanda. Mh.Waziri yupo Nchini Rwanda kuhudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika.
Mh.Saada M.Salum akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ya Kusini (DBSA) Bw.Patrick Diamini (wa pili kushoto) baada ya kikao kilichofanyika Mount Muhambara – Kigali Rwanda.
Waziri wa Fedha Mh.Saada...