TASWIRA MBALIMBALI ZA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA (AFDB) UNAOFANYIKA KIGALIi, RWANDA
.jpg)
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akiwa katika majadiliano na viongozi wa Benki ya HSBC kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere ‘Terminal III’. Majadiliano hayo yalifanyika katika Hotel ya Mills Colonie Mjini Kigali Rwanda.
Mh.Saada Mkuya Salum,Waziri wa Fedha akiagana na Mkurugenzi wa Benki ya HSBC baada ya majadiliano yaliyofanyika katika Hotel ya Mills Colonie Kigali Rwanda.
Waziri wa Fedha Mh.Saada M.Salum akimsikiliza kwa makini Bi.Erika Rubin mratibu wa mfuko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 May
Rais Kagame afungua rasmi mkutano wa mwaka wa Benki ya Maendeleo ya afrika (AfDB) unaofanyika jijini Kigali Rwanda
Baadhi ya Viongozi Wakuu wa Afrika waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ambao ulifunguliwa na Mh.Rais wa Rwanda Paul Kagame. Mh.Kagame katika hotuba yake alisisitiza kuzijengea uwezo sekta binafsi ili Afrika iweze kufikia uchumi wa kati kwa kipindi cha Miaka 50 ijayo. Aidha katika kufikia lengo hilo Rais Kagame alisema hatuna budi Afrika kuachana na Migogoro na kutekeleza kwa vitendo makubaliano yanayoafikiwa na Viongozi wa Afrika ili kujenga uchumi imara...
11 years ago
Dewji Blog20 May
Waziri wa Fedha ahudhuria mkuatano wa mwaka wa benki ya Maendeleao ya Afrika (AfDB) unaofanyika mjini Kigali — Rwanda
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini Bw.Patrick Diamini (wa kwanza kushoto) Mjini Kigali Rwanda. Mh.Waziri yupo Nchini Rwanda kuhudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika.
Mh.Saada M.Salum akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ya Kusini (DBSA) Bw.Patrick Diamini (wa pili kushoto) baada ya kikao kilichofanyika Mount Muhambara – Kigali Rwanda.
Waziri wa Fedha Mh.Saada...
10 years ago
Michuzitaswira kutoka kwenye mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Mjini Abijah, Ivory coast
11 years ago
MichuziMkutano Mkuu wa 49 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika wamalizika Jijini Kigali,Rwanda
11 years ago
Michuzi.jpg)
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum ahudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika Rwanda
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
Tanzania yapandishwa hadhi katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)
.jpg)
5 years ago
MichuziBenki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi
TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA USIKU HUU


Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10