Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Kwaheri Nelson Mandela (Madiba)
NELSON Mandela ni mwana wa Afrika, akalale pema na Mwenyezi Mungu aipumzishe kwa amani roho ya Tata Madiba. Dunia nzima ikiwa katika simanzi ya kumpoteza aliyekuwa mpigania uhuru jemedari wa...
11 years ago
BBCNelson Mandela death: Giving thanks for 'Madiba'
11 years ago
GPL15 Dec
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Pumzika kwa amani mnenguaji Aisha Madinda
5 years ago
CCM BlogPUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA
Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.
Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.
Babu Njenje...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba
5 years ago
MichuziTANZIA: PUMZIKA KWA AMANI YA BWANA DADA YETU MPENDWA MONICA NYAKITERI ( NTARE).
Habarini wapendwa na poleni na mlipuko wa tauni.Wengi wetu tunamfahamu ndugu yetu, rafiki na dada yetu Monika Kerenge (Monica Nyakiteri) au Monica Ntare) na kwa masikitiko makubwa tunawataarifu kuwa ametutoka. Ameaga dunia akiwa nyumbani Tanzania.Hapa UINGEREZA msiba uko nyumbani kwake Sydnham 24B Tree down Road London SE26 5QH.
Kutokana na mlipuko wa tauni sasa hivi mikusanyiko hairuhusiwi ila mnakaribishwa kuja kwa uangalifu sana., Kwa niaba ya familia ningependa...
10 years ago
GPLUZINDUZI WA BIG BROTHER HOTSHOTS ULIVYOKUWA KWA MZEE MADIBA
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.
Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.
Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...