Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwaheri Nelson Mandela (Madiba)

NELSON Mandela ni mwana wa Afrika, akalale pema na Mwenyezi Mungu aipumzishe kwa amani roho ya Tata Madiba. Dunia nzima ikiwa katika simanzi ya kumpoteza aliyekuwa mpigania uhuru jemedari wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Nelson Mandela death: Giving thanks for 'Madiba'

Millions of South Africans celebrate Mandela's life

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba

MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...

 

11 years ago

Habarileo

Kwaheri Madiba

Mjane wa Rais wa kwanza Mwafrika nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela, Graca Machel akimuaga mume wake. Mwili wa shujaa huyo wa dunia ulilazwa katika jengo la serikali la Union kutoa nafasi kwa wananchi kumuaga mpendwa wao. (Picha na AFP).MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.

Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.

Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

11 years ago

BBCSwahili

Kwaheri Tata Mandela

Karibu watu 4,500 walifika kwenye mazishi hayo ikiwemo familia, jamaa, marafiki na viongozi wa dunia kijijini Qunu ambako Mandela alikulia.

 

12 years ago

BBCSwahili

Wasifu wa Nelson Mandela

Mandela alikuwa Rais wa zamani wa Afrika Kusini na amefariki akiwa na umri wa miaka

 

11 years ago

BBC

Nelson Mandela: Timeline

Nelson Mandela's life story in video and pictures

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha ya Nelson Mandela

Nelson Mandela aaga dunia baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je utamkumbuka vipi Mandela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani