Kwaheri Nelson Mandela (Madiba)
NELSON Mandela ni mwana wa Afrika, akalale pema na Mwenyezi Mungu aipumzishe kwa amani roho ya Tata Madiba. Dunia nzima ikiwa katika simanzi ya kumpoteza aliyekuwa mpigania uhuru jemedari wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71613000/jpg/_71613659_dsc_0016.jpg)
Nelson Mandela death: Giving thanks for 'Madiba'
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
11 years ago
GPL15 Dec
11 years ago
Habarileo12 Dec
Kwaheri Madiba
MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.
Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.
Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kwaheri Tata Mandela
12 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wasifu wa Nelson Mandela
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/64878000/jpg/_64878424_mandela%2Bnew%2Btitle%2Bframe%2Blayers%2Bclean%2B.jpg)
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Maisha ya Nelson Mandela