Kwaheri Tata Mandela
Karibu watu 4,500 walifika kwenye mazishi hayo ikiwemo familia, jamaa, marafiki na viongozi wa dunia kijijini Qunu ambako Mandela alikulia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Kwaheri Nelson Mandela (Madiba)
NELSON Mandela ni mwana wa Afrika, akalale pema na Mwenyezi Mungu aipumzishe kwa amani roho ya Tata Madiba. Dunia nzima ikiwa katika simanzi ya kumpoteza aliyekuwa mpigania uhuru jemedari wa...
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Dunia yamuaga Tata Mandela
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Tata Mandela arejeshwa kwao Qunu leo
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
11 years ago
Habarileo12 Dec
Kwaheri Madiba
MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.
Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.
Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJNOHnEFedmYb*i-NgiihTt1*X9s-EWat-r9f5PNDaYuVahjq6KnGf4rqoGuMfhzYuPzFiBNVwberYy1Y8aO9cuR/phili.jpg)
Kwaheri phiri
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Kwaheri Alfredo di Stefano
NGULI wa soka wa Uingereza, Bobby Charlton alikaririwa akisema: “Ni nani huyo? Anachukua mpira kutoka kwa kipa, anawaambia mabeki pembeni nini cha kufanya, mahali popote alipo katika uwanja akicheza, yupo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7N3fV0znBcAXSS5XRWKCk87er3RN1C655ddsjCo8ey7Aa8ZLMLa-XO9Uy5OZNnS77HPME1nQUJmT2b5ZOsjapXn/linah.jpg)
LINAH: KWAHERI THT