Kwaheri Alfredo di Stefano
NGULI wa soka wa Uingereza, Bobby Charlton alikaririwa akisema: “Ni nani huyo? Anachukua mpira kutoka kwa kipa, anawaambia mabeki pembeni nini cha kufanya, mahali popote alipo katika uwanja akicheza, yupo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Dec
Mwanasoka Alfredo apigwa risasi na kufariki
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya El Salvador Alfredo Pacheco ameuawa kwa kupigwa risasi.
Taarifa zilizotolewa na serikali za El Salvador zinabainisha kuwa Pacheco amekutwa na mkasa huo baada ya mtu mmoja kumfyatulia risasi akiwa kwenye kituo cha mafuta katika mji wa Santa Ana, ambao upo umbali wa kilometa 76 Magharibi mwa mji wa San Salvador.
Uongozi wa jeshi la Polisi umesema watu kadhaa wamejeruhiwa katika shambulizi hilo dhidi ya Mlinzi huyo wa zamani wa El Salvador ambaye...
11 years ago
Habarileo04 Mar
Chuo Kikuu cha Stefano Moshi chakabidhiwa majengo
CHUO Kikuu Kishiriki cha Kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) cha mkoani Kilimanjaro, kimekabidhiwa majengo ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa mkataba wa miaka mitano, lengo likiwa ni kuboresha maendeleo ya elimu nchini.
10 years ago
Vijimambo
MKURUGENZI MTENDAJI WA TBL AENDESHA MHADHARA CHUO KIKUU CHA STEFANO MOSHI


5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 06.04.2020: Harry Kane, Jadon Sancho, Alfredo Morelos, Alexis Sanchez
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
10 years ago
GPL
Kwaheri phiri
11 years ago
Habarileo12 Dec
Kwaheri Madiba
MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.
Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.
Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Kwaheri Rais wetu
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Kwaheri JK, karibu JPM