Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 06.04.2020: Harry Kane, Jadon Sancho, Alfredo Morelos, Alexis Sanchez

Mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20, amekataa uhamisho wa kuelekea Manchester United mwisho wa msimu huu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 04.03.2020: Bellingham, Kane, Mourinho, Pochettino, Zidane, Sanchez, Rakitic

Tottenham italazimika kufanya kila liwezekanalo wasimpoteze mshambuliaji wao Harry Kane, 26, msimu wa joto ikiwa watakosa kufuzu kwa Champions League msimu ujao. (Telegraph)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya 12.03.2020: Kane, Sancho, Ramsdale, Sabitzer, Willian, Militao

Manchester City na Manchester United itashindana na Tottenham katika kumwania mshambuliji Harry Kane, 26, kwa dau la £150m mwisho wa msimu huu (90min)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 21.04.2020: Kane, Sancho, Mbappe, Partey, Aubameyang

Wacheza kamari wanaipigia chapuo zaidi United kumsaini Kane pamoja na Sancho,20.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 12.04.2020: Kane, Martinez, Sancho, Upamecano, Kamara, Matic

Uefa inatarajia kukamilisha msimu huu wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya na Ligi ya Europa mwezi Agosti kwa kutumia kipindi cha wiki tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 20.04.2020: Kane, Bale, Neymar, Lacazette, Dembele, Havertz

Arsenal wameulizia rasmi uwezekano wa kumsajili winga wa Valencia na Uhispania Rodrigo Moreno, 29.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 22.03.2020: Alisson, Philippe Coutinho, Virgil van Dijk, Jadon Sancho, Neymar

Chelsea, Manchester United, Arsenal na Tottenham zinamwania kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil Philippe Coutinho, 27, ambaye anataka kurejea katika ligi ya premia. (Mirror)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 13.04.2020: Sancho, Ndombele, Rodriguez, Mertens, Mkhitaryan

Winga wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20, hana mpango wa kujiunga na Chelsea, hatua ambayo inaiweka Manchester United katika nafasi nzuri ya kupata saini yake japo Real Madrid pia wanapigiwa upatu kumsajili nyota huyo. (Diario Madridista, in Spanish)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 02.03.2020: Sancho, Foster, Smalling, Koulibaly, Mertens

Winga wa Borussia Dortmund Jadon Sancho, 19, hana mawazo kuhusiana na hatma yake ya baadae licha ya tetesi zinazomhusisha na uhamisho wa kuenda Manchester United ama Liverpool. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 16.03.2020: Ighalo, Van de Beek, Ronaldo, De Bruyne, Sterling, Kane

Mshambuliaji wa Manchester United na Nigeria Odion Ighalo, 30, ambaye yuko klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua, anajianda kupunguziwa mshahara hadi £6m ili asalie katika ligi ya primia. (Mail)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani