Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 02.03.2020: Sancho, Foster, Smalling, Koulibaly, Mertens
Winga wa Borussia Dortmund Jadon Sancho, 19, hana mawazo kuhusiana na hatma yake ya baadae licha ya tetesi zinazomhusisha na uhamisho wa kuenda Manchester United ama Liverpool. (Mail)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 13.04.2020: Sancho, Ndombele, Rodriguez, Mertens, Mkhitaryan
Winga wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20, hana mpango wa kujiunga na Chelsea, hatua ambayo inaiweka Manchester United katika nafasi nzuri ya kupata saini yake japo Real Madrid pia wanapigiwa upatu kumsajili nyota huyo. (Diario Madridista, in Spanish)
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic
Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)
5 years ago
BBCSwahili08 May
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 8.5.2020: Coutinho, Koulibaly, Sancho, Icardi, Aubameyang
Newcastle inataka kumsajili beki wa kati wa Napoli na Senegal Kalidou Koulibaly
5 years ago
BBCSwahili28 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 28.06.2020: Sancho, Kepa, Havertz, Ronaldinho, Koulibaly, Rabiot
Borussia Dortmund wanaamini winga wao Muingereza Jadon Sancho atasalia katika klabu hiyo, kwani hawajapokea ombi lolote la kutaka kumnunua mchezaji huyo. (Sport Buzzer, via Goal).
5 years ago
BBCSwahili24 May
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 24.05.2020: Pogba, Sancho, Aguero, Willian, Koulibaly, Rabiot
Wakala wa Paul Pogba Mino Raiola ameanza mazungumzo na Juventus kuhusu uhamisho, lakini Real Madrid na Paris St-Germain pia wanamtolea macho kiungo huyo wa Machester United
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 22.06.2020: Jimenez, Kurzawa, Messi, Koulibaly, Vertonghen
Barcelona wameanzisha mazungumzo juu ya mkataba mpya wa mwaka mmoja kwa ajili ya Muargentina Lionel Messi, anayetimiza umri wa miaka 33 Jumatano wiki hii. (Marca)
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 25.06.2020: Ndombel, Aubameyang, Koulibaly, Sancho, Silva, Alcantara, Fernandes,
Mchezaji wa Tottenham aliyesaini kandarasi iliovunja rekodi ya dau la £54m Tanguy Ndombele, 23, amemwambia mkufunzi wake Jose Mourinho kwamba hataki tena kucheza chini yake. Paris St-Germain, Barcelona na Bayern Munich zote zinamnyatia kiungo huyo wa kati wa Ufaransa. (ESPN)
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 08.06.2020:Chilwell, Koulibaly, Martinez, Pjanic, Zaniolo, Rakitic
Manchester United na Real Madrid wanachunguza hali ya mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22 baada ya mazungumzo ya kuhamia Barcelona kugonga mwamba. (Marca via Mirror)
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 23.03.2020: Jovic, Laporte, Skriniar, Koulibaly, Griezmann, Ndicka
Barcelona wana nia ya kumsajili beki wa Manchester City na Ufaransa Aymeric Laporte, 25, katika majira ya kiangazi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania