Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 22.06.2020: Jimenez, Kurzawa, Messi, Koulibaly, Vertonghen
Barcelona wameanzisha mazungumzo juu ya mkataba mpya wa mwaka mmoja kwa ajili ya Muargentina Lionel Messi, anayetimiza umri wa miaka 33 Jumatano wiki hii. (Marca)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 23.06.2020: Jimenez, Martinez, Kurzawa, Arteta, Koulibaly, Vertonghen
Barcelona imehusishwa na usajili wa mshambuliaji wa Inter Milan Lautaro Martinez 22 lakini afisa mkuu mtendaji wa klabu hiyo Giuseppe Marotta anasema kwamba mchezaji huyo wa Argentina hajakuwa na hamu ya kutaka kuondoka ". (Sky Sports Italia, via Mail)
5 years ago
BBCSwahili18 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 18.05.2020: Grealish, Dyche, Zaniolo, McNeil, Jimenez
Kiungo wa kati a Fiorentina Chriastian Koffi, 19 , aliamua kutojiunga na Liverpool mwaka 2018 lakini anasema hakufanya makosa.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 02.03.2020: Sancho, Foster, Smalling, Koulibaly, Mertens
Winga wa Borussia Dortmund Jadon Sancho, 19, hana mawazo kuhusiana na hatma yake ya baadae licha ya tetesi zinazomhusisha na uhamisho wa kuenda Manchester United ama Liverpool. (Mail)
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 08.06.2020:Chilwell, Koulibaly, Martinez, Pjanic, Zaniolo, Rakitic
Manchester United na Real Madrid wanachunguza hali ya mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22 baada ya mazungumzo ya kuhamia Barcelona kugonga mwamba. (Marca via Mirror)
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 23.03.2020: Jovic, Laporte, Skriniar, Koulibaly, Griezmann, Ndicka
Barcelona wana nia ya kumsajili beki wa Manchester City na Ufaransa Aymeric Laporte, 25, katika majira ya kiangazi.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 7.5.2020: Ighalo, Gomes, Kurzawa, Raschica, Bakayoko
Liverpool na Man City wanavutiwa na kiungo Mbelgiji Aster Vranckx,17, anayechezea KV Mechelen.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa tarehe 05.06.2020: Chilwell, Werner, Vertonghen, Longstaff
Beki wa kushoto wa England Ben Chilwell 23,anashawishiwa na kujiunga nan a Chelsea baadae msimu huu lakini bado hajaomba kuondoka Leicester City . (Mirror)
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 24.04.2020: Werner, Willian, Sancho, Vertonghen, Dalot, Coutinho
Manchester United wanafikiria kumuuza mchezaji wa nafasi ya ulinzi Diogo Dalot, 21, kwenda PSG.
5 years ago
BBCSwahili02 May
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 02.05.2020: Jimenez, Werner, Dembele, Henderson, Willian
Mshambuliaji wa Wolves na Mexico Raul Jimenez, mwenye umri wa miaka 28, amesema kuwa itakuwa vigumu kukataa ofa kutoka kwa klabu za Uhispania Real Madrid na Barcelona. (Express)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania