Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwaheri JK, karibu JPM

Watanzania leo watashuhudia mabadiliko ya uongozi wakati Rais Jakaya Kikwete ataondoka rasmi madarakani kumpisha rasmi Dk John Magufuli kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa na kibarua kigumu cha kufanya mabadiliko yatakayopunguza ugumu wa maisha kwa wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kwaheri Kikwete, karibu Dk Magufuli

Rais mpya wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli anaapishwa rasmi leo kuanza ngwe ya uongozi wa nchi kwa kipindi cha miaka mitano. Wakati tukimkaribisha Rais mpya Dk Magufuli, pia tunamuaga Rais Jakaya Kikwete ambaye ameiongoza nchi kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kwaheri Tume ya Warioba, karibu Bunge la Katiba

>Safari ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeshafikia ukingoni, imefika hapa ilipofika. Imekwishakabidhi rasimu yake ya pili kwa Rais Jakaya Kikwete, sasa inasubiri tu kuiwasilisha katika Bunge Maalumu la Katiba mapema mwezi ujao.

 

11 years ago

Habarileo

Kwaheri Madiba

Mjane wa Rais wa kwanza Mwafrika nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela, Graca Machel akimuaga mume wake. Mwili wa shujaa huyo wa dunia ulilazwa katika jengo la serikali la Union kutoa nafasi kwa wananchi kumuaga mpendwa wao. (Picha na AFP).MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.

Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.

Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...

 

10 years ago

GPL

Kwaheri phiri

Kocha Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri, jana alioondoka nchini kuelekea Zambia kwa mapumziko ya wiki moja, baada ya Ligi Kuu Bara kusimama kupisha michuano ya Cecafa iliyopangwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Mzambia huyo, anarejea kwao baada ya kukabidhi ripoti ya raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara kwa Kamati ya Utendaji ya Simba, iliyokutana hivi karibuni na...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwaheri 2015

HILI ni toleo la mwisho la gazeti la Raia Mwema kwa mwaka huu wa 2015.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

GPL

LINAH: KWAHERI THT

Stori: SHAKOOR jONGO
Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ ameaga rasmi jumba hilo ambapo inadaiwa kwa sasa atakuwa chini ya Kampuni ya No Fake Zone ‘NFZ’ inayoendesha shughuli zake nchini Afrika Kusini. Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ Akizungumza na Ijumaa msemaji wa...

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima kwaheri Yanga

KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwaheri Maalim Gurumo

NGULI wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo ‘Mjomba’, amefariki dunia jana katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akiwa na umri wa miaka 73. Gurumo, mwanamuziki mwenye historia ndefu...

 

9 years ago

Mwananchi

Kwaheri Rais wetu

Hodi naja kilingeni, nitokeze hadharani, Kusema yalo moyoni, kwa ndugu zangu nchini, Chatutoka cha thamani, mwendo wake kijijini, Kwaheri Rais wetu, Jakaya tunakuaga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani