Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwaheri Tume ya Warioba, karibu Bunge la Katiba

>Safari ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeshafikia ukingoni, imefika hapa ilipofika. Imekwishakabidhi rasimu yake ya pili kwa Rais Jakaya Kikwete, sasa inasubiri tu kuiwasilisha katika Bunge Maalumu la Katiba mapema mwezi ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wajumbe Bunge la Katiba waivaa Tume ya Warioba

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wamewajia juu waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Kukusanya Maoni ya Katiba wakidai kuwa kazi yao ilishaisha, hivyo kuendelea kujadili masuala kuhusu Rasimu ya Katiba si sahihi.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge lajigeuza Tume ya Warioba

Neville Meena na Fidelis Butahe, Mwananchi Dodoma. Kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kukusanya maoni ya makundi na wananchi mbalimbali, kimepokewa kwa hisia tofauti, baadhi ya wasomi wakisema ni kinyume cha sheria na kuonyesha kutapatapa huku Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akisema linafanya kazi ambayo tayari tume yake ilishaifanya. Hata hivyo, Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad amesema litaendelea kupokea mapendekezo kutoka kwa watu na...

 

11 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yairarua Tume ya Warioba

Ummy Mwalimu WAJUMBE wengi wa Kamati Namba Moja ya Bunge hilo, wameona kuwa hatua ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, kupendekeza uwepo wa serikali tatu, imekiuka Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Tume ya Warioba ilivyoendesha nchini mchakato wa katiba

>Jumanne wiki hii, zilipatikana taarifa kwamba Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilikamilisha kuboresha rasimu ya kwanza na kupata rasimu ya pili ya Katiba Mpya. Naibu Katibu wa tume hiyo, Casmir Kyuki alithibitisha hayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Kwaheri JK, karibu JPM

Watanzania leo watashuhudia mabadiliko ya uongozi wakati Rais Jakaya Kikwete ataondoka rasmi madarakani kumpisha rasmi Dk John Magufuli kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa na kibarua kigumu cha kufanya mabadiliko yatakayopunguza ugumu wa maisha kwa wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kwaheri Kikwete, karibu Dk Magufuli

Rais mpya wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli anaapishwa rasmi leo kuanza ngwe ya uongozi wa nchi kwa kipindi cha miaka mitano. Wakati tukimkaribisha Rais mpya Dk Magufuli, pia tunamuaga Rais Jakaya Kikwete ambaye ameiongoza nchi kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani