Tume ya Warioba ilivyoendesha nchini mchakato wa katiba
>Jumanne wiki hii, zilipatikana taarifa kwamba Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilikamilisha kuboresha rasimu ya kwanza na kupata rasimu ya pili ya Katiba Mpya. Naibu Katibu wa tume hiyo, Casmir Kyuki alithibitisha hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kwaheri Tume ya Warioba, karibu Bunge la Katiba
>Safari ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeshafikia ukingoni, imefika hapa ilipofika. Imekwishakabidhi rasimu yake ya pili kwa Rais Jakaya Kikwete, sasa inasubiri tu kuiwasilisha katika Bunge Maalumu la Katiba mapema mwezi ujao.
11 years ago
Habarileo06 Aug
Wajumbe Bunge la Katiba waivaa Tume ya Warioba
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wamewajia juu waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Kukusanya Maoni ya Katiba wakidai kuwa kazi yao ilishaisha, hivyo kuendelea kujadili masuala kuhusu Rasimu ya Katiba si sahihi.
11 years ago
Michuzi12 Feb
11 years ago
GPL30 Apr
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
>Wakati Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ukifikia hatua ya Kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa Aprili 30 mwaka huu, watu wameendelea kutoa maoni yao.
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
Mwakilishi kutoka Asasi ya Wanawake ya Ulingo, Dk. Avemaria Semakafu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mkutano na wahariri wa vyombo vya habari. Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Valerie Msoka taasisi moja wapo inayounda Mtandao wa Wanawake na Katiba akiwasilisha mada katika mkutano huo. Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakiwa kwenye mkutano na baadhi ya wajumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba. Mmoja...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Tume ya Kurekebisha Sheria nchini Uganda Yaitembelea Tume ya Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vBtIoorCLxE/VO6-VJhwocI/AAAAAAAHF9A/xjtcrCdZLHo/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2NNFZiMoVM/VO6-VFnRcMI/AAAAAAAHF84/BSNvLOJSp_I/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7xza7kFviR0/VO6-W85VazI/AAAAAAAHF9M/xxa8O265ywo/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania