Wasifu wa Nelson Mandela
Mandela alikuwa Rais wa zamani wa Afrika Kusini na amefariki akiwa na umri wa miaka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Maisha ya Nelson Mandela
Nelson Mandela aaga dunia baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je utamkumbuka vipi Mandela
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/64878000/jpg/_64878424_mandela%2Bnew%2Btitle%2Bframe%2Blayers%2Bclean%2B.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaEPLC9urPPVblqod4uIVVDTfsReP7k9DmhWzInPcnDNaLwr4OTwX3ZhLnj7D*h0VKuy1QpVlr1siZEW-FGcSVVA/mandela.jpg?width=650)
MALI ZA NELSON MANDELA HADHARANI
Marehemu Nelson Mandela enzi za uhai wake. MALI za marehemu Nelson Mandela, zimetangazwa ambapo aliiachia familia yake mali za dola milioni 4.1 sawa na bilioni 6.7 za Tanzania. Sehemu ya mali hiyo itatolewa kwa chama tawala cha ANC, wafanyakazi wake wa zamani na shule kadhaa ambako alisomea. Mali hizo zinajumuisha nyumba na hakimiliki za vitabu kikiwemo kimoja kuhusu maisha yake kiitwacho ''Long walk to freedom''. Hayo ndio...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/66941000/jpg/_66941500_66941383.jpg)
VIDEO: Nelson Mandela the philanthropist
Nelson Mandela will perhaps be remembered as much for his fight for the underprivileged as his fight against white minority rule
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71766000/jpg/_71766680_71765425.jpg)
Nelson Mandela - the final goodbye
Grief-stricken but thankful South Africa pays respects to Mandela
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/66657000/jpg/_66657036_66651949.jpg)
VIDEO: Nelson Mandela, in his own words
In 2002, when the BBC was making a two part portrait of Nelson Mandela, David Dimbleby carried out a series of interviews with him
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71588000/jpg/_71588679_sa-workers-reut.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhfv5os0m9XM-VXp0lhYwBoQbUpMnrlKQnB3mRGgDaw06H12RY9MACctyqU4ElU2sy7jegk27vZDP36vTq4Bcdv/NelsonMandela12.jpg)
NELSON MANDELA MWISHO WA ENZI!
Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ enzi za uhai wake. SHUJAA na mwamba wa Afrika, Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ amefariki dunia Desemba 5, mwaka huu akiwa na umri wa miaka 95 kwa maradhi ya mapafu.
Hakuna ngozi nyeusi na hata nyeupe anayeweza kubisha kuwa rais huyo mstaafu wa Afrika Kusini na mtetezi wa watu weusi amepitia mambo mengi. Tukiacha kukua kwake, ujana na mengine, tujikumbushe...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/64781000/jpg/_64781514_64781504.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania