Kuna umuhimu kwa msanii kuwa na wakala kwenye nchi nyingine — Rich Mavoko
Rich Mavoko amesema kuwa ni muhimu kwa wasanii kuwa na mawakala katika nchi zingine watakaokuwa wakisimamia kazi za wasanii hao kwenye nchi hizo ikiwa ni pamoja na kutafutiwa shows. “Kuna umuhimu kwa wasanii kama sisi Watanzania ambao wengi wao tunaamini kwamba kazi zetu hazifiki mbali, kwahiyo unatakiwa uwe na mtu anafatilia kazi zako,” alisema Mavoko […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Oct
Msanii kuonesha mali zake mtandaoni ni kutoa shukurani kwa mashabiki — Rich Mavoko
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-atPiEOAXNdQ/VSj-PeSonnI/AAAAAAAArtU/1bgNdqB30IM/s72-c/mavoko-3.jpg)
Msanii wa bongo fleva RICH MAVOKO Ajibu TUHUMA za Kujichubua Mwili Mzima na Kuwe Mweupe
![](http://3.bp.blogspot.com/-atPiEOAXNdQ/VSj-PeSonnI/AAAAAAAArtU/1bgNdqB30IM/s640/mavoko-3.jpg)
Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua Baaada ya blog hii kuweka Picha zake Hapa zikionyesha Kuwa Mweupe tofauti na zamani...Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya:
“Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni yazamani sana na siku na simu bora wala application za kuedit picha kama sasa, Hii picha mpya nimepiga na Iphone” .Rich Mavoko ameongezea kuwa “Hata maisha yangu yamebadilika,so ni kung’aa tu kwa mtu na sio kujichubua,...
9 years ago
Bongo525 Nov
Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja
![mavoko new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mavoko-new-300x194.jpg)
Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.
Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.
“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”
Mavoko aliendelea,
“lakini kusuasua...
10 years ago
Bongo513 Feb
Rich Mavoko: Sijaachia wimbo wala kwa sasa sina mpango wa kuachia wimbo
11 years ago
Bongo515 Jul
New Music: Rich Mavoko — Tururu
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Rich Mavoko aeleza ya moyoni
MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9JlF4F0jf30/VXgJ_PduJ7I/AAAAAAAHeQo/EDI9VRslWyY/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzdpOwsCUUmi9b5MSXlnNsJl4Ku9Bjj8NUS*l92*lzuzib05dyMEKRNkNfEh3WmS*Gj6Gtgy7aZezOlC4vIg3lyw/RichMavokoPR.png)