Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana FA ataja sababu kuu za kwanini amekuwa akitoa ngoma chake kwa mwaka (Video)

12301206_416545988542834_2103460087_n

Mwana FA si mtu wa kutoa nyimbo nyingi kwa mwaka. Kwanini? Hizi ni sababu tatu alizozitoa baada ya kukaa na kuzungumza na sisi.

“Naona sina vitu vingi vya kuprove. Kwasababu kama mtu amefika mahali sasa hivi haamini kama nina uwezo, nitakuwa sina uwezo tena wa kumbadilisha,” amesema Mwana FA.

“Muziki mzuri unahitaji muda. Mimi nisharekodi ngoma inakaa mwaka mzima, baadaye tukija tukitaka kuitoa tunakuja tunarekodi tena. Nisharekodi ngoma mara nne kama Kama Zamani ile. Na nafikiri hili...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Matonya ataja sababu za kwanini ngoma zake hazihit kama zamani

Matonya amesema sababu kubwa iliyomfanya apotee kwenye muziki na nyimbo zake za sasa kutofanya vyema kama mwanzo ni kukosa uongozi mzuri wa kumsimamia. Matonya ameambia Bongo5 kuwa muziki wa sasa hivi upo tafauti na ule wa zamani uliokuwa hauhitaji mambo mengi kama muziki wa sasa. “Tatizo kubwa kadri siku zinapozidi kwenda wasanii tunazidi kuwa wengi, […]

 

9 years ago

Bongo5

Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja

mavoko new

Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.

mavoko new

Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.

“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”

Mavoko aliendelea,

“lakini kusuasua...

 

10 years ago

Bongo5

Fid Q awasharikisha Sauti Sol, ataja sababu za kutotoa ngoma nyingi na wasanii wa hiphop kutofanikiwa

Fid Q amewashirikisha Sauti Sol kwenye wimbo wake mpya. Fid Q, AY, Shaa na Sauti Sol wakiwa studio Akiongea jana kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha Citizen Radio ya Kenya, Fid amedai kuwa wimbo huo wameurekodi juzi usiku. “Nilikuja Nairobi kwaajili ya kurekodi na Sauti Sol, namshukuru Mungu tumefanya session last night na kiukweli wote […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mwaka ataja sababu za vifo vya watoto

MAELEWANO mabaya kati ya wagonjwa na wauguzi ni miongoni mwa sababu zinazochangia vifo vya watoto wakati wa kujifungua. Hayo yalibainishwa na Daktari wa ForePlan Clinic,  Juma Mwaka, alipozungumza na wahariri...

 

9 years ago

Bongo5

Weusi waeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa kazi ya kundi

Weusi

Kundi la Weusi linaloundwa na Nikki Wa Pili, G-Nako, Joh Makini, Lord Eyez na Bonta limeeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa wimbo wowote wa kundi, mbali na single za mmoja mmoja ambazo hata hivyo kila mmoja zimemsaidia kumuweka pazuri zaidi.

Weusi

Baadhi ya nyimbo walizotoa Weusi kama msanii mmoja mmoja mwaka huu ni kama Joh Makini ametoa Nusu Nusu na Don’t Bother, Nikki Wa Pili ametoa Safari na Baba Swalehe, G- Nako ametoa Laini na anatarajia kuachia wimbo mpya Original, Bonta pia...

 

10 years ago

Bongo5

Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video

Fareed Kubanda a.k.a Fid Q amesema anatarajia kwenda nje ya nchi kushoot video yake mpya. Rapper huyo wa Rock City amesema amedhamiria kuanza kufanya video nzuri baada ya kukaa muda mrefu bila video nzuri au wakati mwingine kutofanya kabisa licha ya kutoa hits nyingi. “Nimedhamiria kufanya video nzuri, kwahiyo kiukweli nashindwa kusema itakuwa ni aina […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Mwana FA na AY wa-tease ngoma mpya

Hamis Mwinjuma a.k.a Mwana FA na swahiba wake Ambwene Yessaya a.k.a AY wame tease ngoma mpya ambayo ni ishara ya ujio wao wa 2015. FA ambaye hivi karibuni ameachia video ya ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba na kufanyika Kenya, ameshare video wakiwa studio za MJ na AY huku ikisikika sauti ya ngoma mpya, na kuandika “2015….myyyyyyyyyyy […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hii ndio sababu ya kwanini Malaika haimbi style moja ya muziki

11313469_850096228421131_180915679_n

Malaika ni msanii aliyefanya vizuri mwaka huu na wimbo wake Sare aliomshirikisha Mesen Selekta.

Tayari ana video mpya iitwayo Zogo. Lakini kabla ya nyimbo hizo aliachia wimbo wa Mchiriku uitwao Mwantumu.

“Kwa Tanzania tumezoea kwamba mtu anaimba style moja ya muziki, mwanamuziki huyu limitation yake iko hapa, hawezi kubadilika kufanya kitu kingine cha tofauti, ni hapo hapo tu alipo,” amesema Malaika.

“Lakini kinachonifanya mimi kubadilika na kufanya nyimbo tofauti tofauti ni kutaka...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA aeleza sababu za kutengeneza ‘clean & dirty version’ za video yake mpya

FA

Baada ya Mwana FA kuachia wimbo wake mpya ‘Asanteni Kwa Kuja’ wiki hii, amesema kuwa video ya wimbo huo iliyoshutiwa Afrika Kusini ina version mbili (Dirty & clean), safi ikiwa ni kwaajili ya TV za nyumbani na chafu kwaajili ya TV za nje.

FA

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, FA amesema maamuzi ya kufanya version mbili yalikuja baada ya kuwa na mabishano kati yake na director wa video hiyo kuhusu kipi kitoke na kipi kibaki.

Amesema baada ya kutumiwa video...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani