Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana FA aeleza sababu za kutengeneza ‘clean & dirty version’ za video yake mpya

FA

Baada ya Mwana FA kuachia wimbo wake mpya ‘Asanteni Kwa Kuja’ wiki hii, amesema kuwa video ya wimbo huo iliyoshutiwa Afrika Kusini ina version mbili (Dirty & clean), safi ikiwa ni kwaajili ya TV za nyumbani na chafu kwaajili ya TV za nje.

FA

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, FA amesema maamuzi ya kufanya version mbili yalikuja baada ya kuwa na mabishano kati yake na director wa video hiyo kuhusu kipi kitoke na kipi kibaki.

Amesema baada ya kutumiwa video...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana

Gnako

Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.

Joh na G-Nako

Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.

Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...

 

9 years ago

Bongo5

Too dirty for TV: Video ya FA itakuja na version mbili, chafu na safi!

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA tayari amekabidhiwa video ya ngoma yake mpya ‘Asanteni kwa Kuja’ lakini hawezi kuitoa kama ilivyo kutokana na jinsi ilivyo.

12298952_951039554970796_1769017982_n

Akiongea kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, FA amesema kwa sasa muongozaji wa video hiyo iliyofanyika Afrika Kusini anatengeneza video safi itakayoendana na matwaka ya TV za Tanzania.

Amesema video hiyo itakuwa na version mbili, chafu na safi. Hata hivyo hakutaja ni lini video hiyo itatoka.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Davido aeleza sababu iliyomfanya kuahirisha kuachia album mpya siku 2 kabla ya tarehe iliyokuwa imepangwa

davido ADavido ameweka wazi sababu iliyomfanya yeye na uongozi wake kuahirisha kutoa album yake mpya ‘The Baddest’ hadi mwakani. Staa huyo wa Nigeria amesema kuwa album hiyo iko tayari, lakini siku mbili kabla ya terehe ya kuitoa walipigiwa simu kutoka kwenye kampuni moja kubwa ambayo inataka kuhusika kwenye maswala ya usambazaji. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

 

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah kuachia wimbo mpya mwezi ujao, pia aeleza sababu za kumtumia director Pablo kwenye video nyingi

Kala

Baada ya kipindi cha kampeni kupita Kala Jeremiah pia yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotaka kutoa kazi mpya za kufungua mwaka.

Kala

Kala ameiambia Bongo5 kuwa tayari video ya kazi mpya imekamilika na anatarajia kuitoa hivi karibuni.

“Video ya wimbo mpya na nimeshoot na PABLO ila nisingependa kwanza kutaja jina la wimbo, lakini mwezi wa 12 lazima itoke”.

Video nne zilizopita za Kala (Nchi ya Ahadi, Usikate Tamaa, Simu Ya Mwisho, Wale Wale) zote zimeongozwa na Pablo, kuhusu kwanini ameamua...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ali Kiba azindua Video yake mpya “MWANA” kua wa kwanza kuiona hapa

Untitled

Akiwa ana nyimbo za “Mwana” na “Kimasomaso” zikiongoza  katika vituo mbali mbali Africa, Alikiba aachia video ya “Mwana” iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu jana ,Ijumaa tarehe 19 Decemba 2014 kwa mamilioni ya mashabiki Africa na duniani. “Mwana” ni nyimbo ya kwanza  baada ya kufunga mkataba wake na kampuni ya Rockstar4000 Management na Rockstar Publishing.

Rekodi ya “Mwana” ni nyimbo ya kwanza kutoka kwenye albamu ya tatu ya Alikiba baada ya kutokuwa katika muziki kwa muda wa miaka mitatu....

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mwana FA aeleza alivyorudisha uswahiba wake na Hermy B

12357603_1543644989260447_736222952_n

Mwana FA na Hermy B walirejea tena mwishoni kabisa mwa mwaka jana na kuungana pamoja kutayarisha wimbo ‘Asanteni kwa Kuja.’

Hiyo ilikuwa ni baada ya takriban miaka miwili waliyokaa bila kufanya kazi.

“Unajua kuna wakati mwingine haijalishi wewe na mimi hatuko poa lakini mnajikuta mko katika eneo moja pengine kwenye maisha yenu ya kila siku, starehe, kazi ama nini,” amesema FA kuhusu walivyopatana tena na mtayarishaji huyo.

“Na tukagundua kwamba in personal level hakukuwa na tatizo,...

 

11 years ago

Bongo5

Video: Linah azungumzia video ya Ole Themba, aeleza sababu ya kuonesha utamaduni wa kizulu

Linah amesema uamuzi wa kutumia utamaduni wa kizulu kwenye video yake ya ‘Ole Themba’ (‘tumaini’ kwa Kiswahili), ni kutanua soko la muziki na pia Afrika Kusini ni kama ndugu wa Tanzania hivyo anaamini kubalishana utamaduni ni jambo jema. Akiongea kwenye mahojiano na Bongo5, Linah amesema video ya wimbo huo imeigharimu kampuni inayomsimania, No Fake Zone, […]

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND AACHIA AUDIO&VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA IITWAYO NTAMPATA WAPI

Diamond Platinumz wakati akitambulisha ngoma yake mpya iitwayo Ntapata Wapi leo hii kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.Hapa akichagua barua za wale waliotuma kwa ajili ya watoto wao wanaompenda Diamond na atakayeshinda atatembelewa na msanii huyo nyumbani kwake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani