Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Too dirty for TV: Video ya FA itakuja na version mbili, chafu na safi!

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA tayari amekabidhiwa video ya ngoma yake mpya ‘Asanteni kwa Kuja’ lakini hawezi kuitoa kama ilivyo kutokana na jinsi ilivyo.

12298952_951039554970796_1769017982_n

Akiongea kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, FA amesema kwa sasa muongozaji wa video hiyo iliyofanyika Afrika Kusini anatengeneza video safi itakayoendana na matwaka ya TV za Tanzania.

Amesema video hiyo itakuwa na version mbili, chafu na safi. Hata hivyo hakutaja ni lini video hiyo itatoka.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mwana FA aeleza sababu za kutengeneza ‘clean & dirty version’ za video yake mpya

FA

Baada ya Mwana FA kuachia wimbo wake mpya ‘Asanteni Kwa Kuja’ wiki hii, amesema kuwa video ya wimbo huo iliyoshutiwa Afrika Kusini ina version mbili (Dirty & clean), safi ikiwa ni kwaajili ya TV za nyumbani na chafu kwaajili ya TV za nje.

FA

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, FA amesema maamuzi ya kufanya version mbili yalikuja baada ya kuwa na mabishano kati yake na director wa video hiyo kuhusu kipi kitoke na kipi kibaki.

Amesema baada ya kutumiwa video...

 

10 years ago

Vijimambo

BDX IX YA BOTSWANA LICHA YA KUJA NA MAJI YAO WAPIGWA MBILI SAFI MPIRA NI UWANJANI

Maofisa na wachezaji wa BDF XI ya Botswana wakitoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakiwa na maji yao ya kunywa. Timu hiyo leo Jumamosi inacheza na Yanga jijini Dar es Salaam katika mechi ya Kombe la Shirikisho. PICHA NA KHATIMU NAHEKA Amis Tambwe akiwa chini ya ulinzi kama hivi lakini aliwaponyoka na kukwamisha magoli mawili kila kipindi.KIKOSI cha BDF XI kilitua nchini tangu juzi Alhamisi tayari kuivaa Yanga leo na katika kuonyesha ipo makini, imekuja na maji ya kunywa ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]

 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown — Liquor / Zero (Explicit Version)

Msanii Chris Brown ameachia video mbili kwa pamoja ‘Liquor & Ziro’ nyimbo hizi zitakuwepo kwenye Album yake mpya ‘Loyality’ Nyimbo zote hizi zipo kwa mfumo wa video moja yenye urefu wa dakika 9 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube […]

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: CHRIS BROWN - PICTURE ME ROLLIN' (Explicit Version)



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown – Back To Sleep (Explicit Version

back3

Staa wa muziki wa R&B, Chris Brown ameachia video mpya ya single inaitwa “Back To Sleep”, Zikiwa zimebaki siku chache kufikia uzinduzi wa album yake mpya,”Royalty” hii itakuwa album yake ya saba ya Chris tarehe 18 December 2015, tarehe ambayo album hiyo itakuwa sokoni.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

BBCSwahili

Je video ya Rihanna ni 'Chafu' au inatisha?

Rihanna ametibua mjadala mkali kwenye mitandao ya habari za muziki na wasanii baada ya kuachia video inayosemekana kuwa ''chafu'' naya 'kutisha''

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani