Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Mwana FA aeleza alivyorudisha uswahiba wake na Hermy B

12357603_1543644989260447_736222952_n

Mwana FA na Hermy B walirejea tena mwishoni kabisa mwa mwaka jana na kuungana pamoja kutayarisha wimbo ‘Asanteni kwa Kuja.’

Hiyo ilikuwa ni baada ya takriban miaka miwili waliyokaa bila kufanya kazi.

“Unajua kuna wakati mwingine haijalishi wewe na mimi hatuko poa lakini mnajikuta mko katika eneo moja pengine kwenye maisha yenu ya kila siku, starehe, kazi ama nini,” amesema FA kuhusu walivyopatana tena na mtayarishaji huyo.

“Na tukagundua kwamba in personal level hakukuwa na tatizo,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Hermy B awataja Fid Q, Professor Jay na Mwana FA kuwa ndio waandishi bora Tanzania

Producer na CEO wa B’Hits Music Group, Hermy B, amewataja Fareed Kubanda aka Fid, Joseph Haule aka Professor Jay na Hamis Mwinjuma aka Mwana FA kuwa ndio waandishi bora wa mashairi Tanzania. Hermy aliwataja rappers hao kwenye kipindi cha Mkasi baada ya kuulizwa na Salama Jabir ni wasanii gani anaowakubali zaidi kwa uandishi wao. Mtazame […]

 

9 years ago

Bongo5

Hermy B anatayarisha ngoma mpya ya Mwana FA

12120321_1140272202668159_944774289_n

Si AY na Hermy B tu ndio wamerejesha kwa kasi uswahiba wao kiasi cha kuonekana mara kibao wakiwa pamoja studio hadi hivi karibuni kwenda pamoja Lagos, Nigeria.

12120321_1140272202668159_944774289_n

Hermy B aliyetengeneza hits za FA ikiwemo ‘Bado Nipo Nipo’ anatengeneza ngoma mpya ya Mwana FA. Hermy ambaye ni mwanzilishi wa studio za B’Hits ametweet kwa kuandika:

Kwa wale wanaojua zaidi yangu…nitumie compressor ipi ili sauti ya @MwanaFA isikike vizuri kwenye ngoma yake mpya? pic.twitter.com/IwnFKYsJ5J

— Hermy B (@HermyB1)...

 

9 years ago

Bongo5

Hermy B na Pancho kumleta Mwana FA na ‘Asanteni Kwa Kuja’

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA na Hermy B wakikutana hawajawahi kumiss zaidi ya kuhit!

12298952_951039554970796_1769017982_n

Uzikumbuka ‘Habari Ndio Hiyo’, ‘Bado Nipo Nipo’, ‘Naongea Na Wewe’, ‘Msiache Kuongea’ , ‘Naona Nazeeka Sasa’ na ‘Nangoja Ageuke?’ Hizi zote zilipigwa nwa Hermy B kwenye studio za B’Hits na sasa wawili hao wanakuletea ‘Asanteni Kwa Kuja.’

FA ambaye amekuwa kimya tangu aachie ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba, anavunja ukimya kwa ngoma hiyo yenye kila dalili za kuja kuwa gumzo kama zilivyo ngoma zake nyingi.

Hermy B...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA aeleza sababu za kutengeneza ‘clean & dirty version’ za video yake mpya

FA

Baada ya Mwana FA kuachia wimbo wake mpya ‘Asanteni Kwa Kuja’ wiki hii, amesema kuwa video ya wimbo huo iliyoshutiwa Afrika Kusini ina version mbili (Dirty & clean), safi ikiwa ni kwaajili ya TV za nyumbani na chafu kwaajili ya TV za nje.

FA

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, FA amesema maamuzi ya kufanya version mbili yalikuja baada ya kuwa na mabishano kati yake na director wa video hiyo kuhusu kipi kitoke na kipi kibaki.

Amesema baada ya kutumiwa video...

 

5 years ago

Bongo5

Billnass alipanga kumshirikisha Maua Sama kwenye Mazoea, aeleza jinsi Mwana FA alivyoingia

Maua Sama ndiye alikuwa amepangwa kushirikishwa kwenye wimbo Mazoea, kwa mujibu wa Billnass.

Akizungumza kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz, Bill alisema wimbo huo aliurekodi mwaka 2014 ambapo aliingiza verse mbili na chorus yake lakini akahitaji pia sauti za Maua Sama.

“Maua ni mshkaji wangu lakini ikija kwenye biashara mimi siletagi tena ushkaji, lazima nifuate management yake na nini. Kwahiyo nikamfuata Mwana FA nikamuambia nina demo ya wimbo wangu nataka uisikilize, sababu mara nyingi pia...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Izzo B aeleza kwanini anazipa uzito video za muziki

Izzo Bizness amesema hujitahidi kuzifanyia video ngoma zake kwakuwa anaamini video za muziki zina nguvu zaidi ya kuupa wigo wimbo. Izzo amekiri kuwa tatizo la wasanii wa hip hop kutozifanyia video nyimbo zao ni sugu na wakati mwingi sio kwamba hawana fedha. Msikilize zaidi akielezea hapo chini.

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: MWANA FA - AHSANTENI KWA KUJA / THANKS FOR COMING (Official Video)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: IZZO BUSINESS ft. MWANA FA & G-NAKO - SHEM LAKE (Official Video)



Published on Dec 17, 2015Official Music video for Shem Lake performed by Izzo Bizness featuring Mwana FA & G-Nako directed by Khalfani Khalmandro ,Tanzania . Produced by Nahreel at The Industry Studio in Dar es Salaam, Tanzania.
You can also Listen and download Shem Lake Audio, Click here
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam...

 

10 years ago

GPL

BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE

Na Hamida Hassan BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, diva wa filamu Bongo, Yobnesh  Yusuph  ‘Batuli’ amefunguka kuwa kimya chake hicho kina mshindo kwani kuna kitu kilimuweka bize hivyo watu wakae mkao wa kula atawasapraizi. Diva wa filamu Bongo, Yobnesh  Yusuph  ‘Batuli’. Batuli alisema hayo baada ya mashabiki kuuliza amepotelea wapi ambapo alisema kuwa aliamua kukaa kimya kidogo ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani