Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE

Na Hamida Hassan BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, diva wa filamu Bongo, Yobnesh  Yusuph  ‘Batuli’ amefunguka kuwa kimya chake hicho kina mshindo kwani kuna kitu kilimuweka bize hivyo watu wakae mkao wa kula atawasapraizi. Diva wa filamu Bongo, Yobnesh  Yusuph  ‘Batuli’. Batuli alisema hayo baada ya mashabiki kuuliza amepotelea wapi ambapo alisema kuwa aliamua kukaa kimya kidogo ili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BATULI AELEZA SABABU ZA KUTOOLEWA

Brighton Masalu STAA wa filamu Bongo, Yobnes Yusuph ‘Batuli’, ameeleza sababu zinazochangia yeye kutoolewa kuwa ni umaarufu wake.Akizungumza na mwandishi wetu pande za Mlimani City jijini, alisema kuwa wanaume wamekuwa wakiwahofia kwa sababu wao ni mastaa kama wengi wanavyoamini ukimuoa staa umeumia.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DGFqLZ ...

 

9 years ago

Bongo5

Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo

baby boy

Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.

baby boy

Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.

“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...

 

10 years ago

GPL

MWIMBAJI WA ‘KUCHI KUCHI’ ATOA SABABU YA UKIMYA WAKE

Mwimbaji wa kike wa Nigeria, J’Ordie. MWIMBAJI wa kike wa Nigeria, J’Ordie alipotoa wimbo wa ‘Kuchi Kuchi’ ambao unafanana na nyimbo za Kihindi, wapenda burdani wengi nchini humo walijua wamepata staili mpya ya nyimbo katika tasnia hiyo, lakini wakati wakifikiri kwamba mwimbaji huyo angezidi kutoa nyimbo nyingine, alipotelea katika ukimya. Wakati mashabiki wakijiuliza kilichotokea, mwimbaji huyo mrembo...

 

9 years ago

Bongo5

Mc Koba aeleza sababu za kuamua kutumia mtindo wa mchiriku na mdundiko kwenye muziki wake

koba

Aliyewahi kuwa muimbaji wa kundi la zamani la Watu Pori kutoka Morogoro, Mc Koba amesema ameamua kufanya mabadiliko kidogo katika style ya muziki wake ili kwenda sawa na matarajio ya wengi ambao hupenda kuona mabadiliko kutoka kwa wasanii ambao wako kwenye game kwa muda mrefu.

koba

Akizungumza kupitia E Newz ya EATV, Koba ametoa sababu nyingine ya kuamua kufanya aina ya muziki wenye mchanganyiko wa mdundiko na mchiriku.

“Kwanini nimeamua kufanya mtindo huu aina ya mchanganyiko wa mdundiko na...

 

10 years ago

Bongo5

Evance Bukuku wa Vuvuzela aeleza sababu za kumchukua mdogo wake muimbaji Enika kwenye comedy

Enika ni msanii wa kike ambaye nyota yake ilianza kuonekana mwaka 2004 alipotoa wimbo wake wa ‘Baridi Kama Hii’, ambao ulishika chati mbalimbali za muziki Bongo. Enika ambaye jina lake kamili ni Atuganile A Bukuku ni dada wa aliyekuwa producer wa G Records na baadae G2, marehemu Roy Bukuku, pamoja na Evance Bukuku wa Vuvuzela […]

 

10 years ago

Bongo5

Batuli aeleza kwanini mahusiano kati ya mastaa wa Bongo hayadumu

Mwanadada ambaye ni mrembo katika tasnia ya filamu, Yobnesh Yussuph aka Batuli amezungumzia changamoto zinazowakumba mastaa wa Tanzania walio kwenye uhusiano wa kimapenzi ambazo huwafanya washindwe kudumu. Akizungumza na Bongo5 leo, Batuli amesema tatizo kubwa ambalo lipo kwa mastaa wa Bongo ni kutojua mapenzi na na kutokuwa na pesa. “Huwezi kufananisha maisha ya couples za […]

 

9 years ago

Bongo5

Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake

Amini

Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.

amini

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.

“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatujapotea kimuziki, ukimya wetu una sababu

Na yeye kwangu mimi, ukweli sijiwezi, na mimi kwake yeye ukweli sijiwezi, cheza kibabababa,hanikatai hata kama sivai tai……… ni wimbo na mtindo wa uchezaji ulioshika kila kona ya jiji la Dar es Salaam

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Nchimbi aeleza sababu za kuwajibika

>Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi amesema yeye pamoja na mawaziri wenzake watatu walikubali kuwajibika kutokana na makosa yaliyofanywa na askari waliokuwa wakitekeleza Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani