MWIMBAJI WA ‘KUCHI KUCHI’ ATOA SABABU YA UKIMYA WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDzBKdndhRytQQtZpJXY4xJCgYyH81QgSQbd4VlW*4PmBWR5JqoR2jha8AQyF0kr82HjpqpFNkYm9jKlowNbekN/image.aspx.jpg?width=650)
Mwimbaji wa kike wa Nigeria, J’Ordie. MWIMBAJI wa kike wa Nigeria, J’Ordie alipotoa wimbo wa ‘Kuchi Kuchi’ ambao unafanana na nyimbo za Kihindi, wapenda burdani wengi nchini humo walijua wamepata staili mpya ya nyimbo katika tasnia hiyo, lakini wakati wakifikiri kwamba mwimbaji huyo angezidi kutoa nyimbo nyingine, alipotelea katika ukimya. Wakati mashabiki wakijiuliza kilichotokea, mwimbaji huyo mrembo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Nov
Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/David-Jodie-WEDDaily001-300x194.jpg)
Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.
Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.
J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, J’odie wa Nigeria avishwa pete ya uchumba
10 years ago
Bongo507 Jan
‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSSF0Kl3LwV8VfxBwls339QTdysFRkKUhOPNpE4zw1A0TWdoSWRhyOYCdx9w5bP4aklr8ThGfIFlPR1jl1A9i8b/Jodie1.jpg?width=650)
JODIE WA ‘KUCHI KUCHI’ MJAMZITO?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXGXWUaWnMd*cPXRaxFDDS7NQeeW3eLRU-54ht-fbct3fg6acQtBbcSe5KURiE9S8exNYeJbbn8QrTS8ipIAkLnr/batuli.jpg)
BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uECxyRuL2bQ/VTd2RwQiOqI/AAAAAAAAsX8/KxpwoamA3Js/s72-c/ommy-picha%2B(1).jpg)
Ommy Dimpoz atoa sababu za kwanini hajawahi kumtambulisha hadharani mpenzi wake
![](http://3.bp.blogspot.com/-uECxyRuL2bQ/VTd2RwQiOqI/AAAAAAAAsX8/KxpwoamA3Js/s640/ommy-picha%2B(1).jpg)
'Sijapenda kuweka wazi sana swala la mahusiano kwasababu inatakiwa mimi niweze kuwa na uhakika kwamba huyu ambaye namtambulisha kwa wananchi ni kweli wakati umefika,
kwasababu leo unaweza ukawatambulisha huyu baada ya siku tatu mambo hayaeleweki ukatambulisha mwingine, kwahiyo mwisho wa siku utaonekana kijana unatumia nafasi yako kuweza kuchezea watoto wa kike, kwahiyo najaribu kuwa makini kwa hilo lakini kipindi kitakapofika watu wataweza kufahamu kama Ommy ‘bae’ wake ni yupi'...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Mtawa mwimbaji atoa kibao
9 years ago
Bongo509 Nov
Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake
![Amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/Amini-300x194.jpg)
Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Hatujapotea kimuziki, ukimya wetu una sababu