Picha: Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, J’odie wa Nigeria avishwa pete ya uchumba
Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, wimbo uliopata umaarufu mkubwa Tanzania miaka michache iliyopita, Jodie kutoka Nigeria amechumbiwa. Kupitia Instagram, J’odie alishare picha ya pete yake ya uchumba aliyovishwa na mume wake mtarajiwa David Nnaji ambaye pia ni boss wake. Nnaji ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album ya kwanza ya J’odie, ‘African […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Nov
Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/David-Jodie-WEDDaily001-300x194.jpg)
Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.
Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.
J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...
10 years ago
Bongo507 Jan
‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDzBKdndhRytQQtZpJXY4xJCgYyH81QgSQbd4VlW*4PmBWR5JqoR2jha8AQyF0kr82HjpqpFNkYm9jKlowNbekN/image.aspx.jpg?width=650)
MWIMBAJI WA ‘KUCHI KUCHI’ ATOA SABABU YA UKIMYA WAKE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSSF0Kl3LwV8VfxBwls339QTdysFRkKUhOPNpE4zw1A0TWdoSWRhyOYCdx9w5bP4aklr8ThGfIFlPR1jl1A9i8b/Jodie1.jpg?width=650)
JODIE WA ‘KUCHI KUCHI’ MJAMZITO?
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Huddah Monroe avishwa pete ya uchumba
Nairobi, Kenya
MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita.
Mwanamitindo huyo mwenye umaarufu mkubwa nchini humo, ameamua kuvunja ukimya wake na kuionesha pete hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram.
“Kila kitu kipo wazi, lakini muda ukifika watu watamjua nani aliyenivisha pete hii, lakini kwa sasa watu wanatakiwa wajue nina pete ya uchumba.
“Kwa sasa naweza kusema sihitaji usumbufu kutoka kwa mwanamume yeyote, huu ni muda wangu wa...
10 years ago
Bongo Movies21 Dec
Shilole Avishwa Pete ya Uchumba na Nuh Mziwanda
Mwigizaji na mwanamziki maarufu wa kike hapa Bongo, Zuwena Mohamed “Shilole” ambae ni mama wa watoto wawili usiku huu akishereke siku yake ya kuzaliwa maeneo ya Mikocheni jiji Dar, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa muda mrefu sasa, Nuh Mziwanda ambae pia ni mwanamziki.
Tunawatakia kila kheri wapendanao hawa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbn-VvuroCF0mG74DF1bj5-mVh9PrMn-54AFYKWWuxeUheUfzLO7NPG-1cqzK*7GcP6fJk1chlFUzCHGxNWb2nQ/maf.jpg?width=650)
MAI AVISHWA PETE YA UCHUMBA, NDOA UPYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmxSwOqkHLNeVWdyq9o2Os9B4DKQ5sh9zDxOuG3oelRtkUyiLGtZf3g2KLgVmcjTIbHJovOoXt5Ot7NVbQH4SMZ9/Salma.jpg?width=650)
SALMA DAKOTA AVISHWA PETE, APOTEZA FAHAMU
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/WOLPER-11.jpg)
PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER