Batuli aeleza kwanini mahusiano kati ya mastaa wa Bongo hayadumu
Mwanadada ambaye ni mrembo katika tasnia ya filamu, Yobnesh Yussuph aka Batuli amezungumzia changamoto zinazowakumba mastaa wa Tanzania walio kwenye uhusiano wa kimapenzi ambazo huwafanya washindwe kudumu. Akizungumza na Bongo5 leo, Batuli amesema tatizo kubwa ambalo lipo kwa mastaa wa Bongo ni kutojua mapenzi na na kutokuwa na pesa. “Huwezi kufananisha maisha ya couples za […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Dec
Nisher aeleza kwanini ameamua kuweka wazi mahusiano yake (Picha)
![moz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/moz-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher ameweka wazi sababu inayomfanya aweke wazi picha za mahaba akiwa na mpenzi wake katika mitandao ya kijamii.
Nisher amesema kufanya hivyo kunamweka mbali na wasichana wengine wanaomsumbua.
“Naona ni vyema zaidi kuwa wazi na mkweli, inasaidia kupunguza usumbufu,” ameiambia Bongo5.
“Ndoa inakuja, ila hamna haraka yoyote bado kwa sababu tupo vizuri na mambo mengine taratibu.”
9 years ago
Bongo514 Nov
Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine
![lollipop2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/lollipop2-300x194.jpg)
Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.
Lollipop ndiye mwandishi wa ‘Siachani Nawe’ na ‘Nivumilie’ za Barakah Da Prince, pamoja na ‘Basi Nenda’ na nyingine za Mo Music.
“Muziki wa gospel kwangu mimi ni maisha kamili, lakini production pamoja na ishu za uandishi nimefanyika kuwa sehemu ya kazi yangu,” alisema Lollipop...
10 years ago
Bongo504 Oct
Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyALzJWo1**aeQ1EPFSe1shUETOa6PLsspfd4viZYRP*oCYkLbq5WH9tP5jsgfm751-nTwd-PdfK4nESwV5I41yFL/batu.jpg)
BATULI AELEZA SABABU ZA KUTOOLEWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXGXWUaWnMd*cPXRaxFDDS7NQeeW3eLRU-54ht-fbct3fg6acQtBbcSe5KURiE9S8exNYeJbbn8QrTS8ipIAkLnr/batuli.jpg)
BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW54xJfrdfDbinZwm2b96DgzcpADSY6IADlg1U223uvW97xd1gR9nypCPGnLcELYFxLBgNpM3-z-ymEtkR-9Epn5/BATULI.jpg?width=650)
BATULI AWAJIA JUU MASTAA WANAOWAHARIBIA
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7t2*peuA5656VfvVTs0bDaQg28Ehor6kq-TEH3e0*QHepOA4QXi6saFw8XPy7oxtjSaRN3CsH-sTz*oVYximz4S/constipation.jpg?width=650)
MAHUSIANO KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MUUNGURUMO-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjkObauo**XT5UMZQaLKP*MfFukm8lTwEpOetN3N87yLrhEVPQkhMUxKVHbQiMJo2aPn6*atDm0S1GwD2hGvpdt/GasinStomach.jpg?width=650)
MAHUSIANO KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MUUNGURUMO-3