Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo
Msanii wa Hip Hop kutoka Morogoro, Stamina ametoa sababu ya nyimbo nyingi za bongo zinazofanyiwa remix kutofanya vizuri hapa nyumbani. Stamina aliitolea mfano remix ya ‘Number One’ ya Diamond na Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alijua timing pamoja na thamani ya msanii aliyefanya naye. “Diamond remix yake ilifanya vizuri kwasababu kwanza nyimbo ilikuwa hit, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL11 years ago
GPL06 Jan
10 years ago
Bongo515 Aug
New Music: Stamina f/ Chidi Benz, Nikki Mbishi, Songa, Noorah & Fid Q – Like Father Like Son (Remix)
11 years ago
Bongo506 Sep
‘Sugua Gaga’ yaipiku ‘Number 1 remix’ kwa kupata views nyingi Youtube ndani ya miezi mitano
11 years ago
Bongo530 Sep
Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake
11 years ago
Bongo519 Aug
Batuli aeleza kwanini mahusiano kati ya mastaa wa Bongo hayadumu
9 years ago
Bongo514 Nov
Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine

Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.
Lollipop ndiye mwandishi wa ‘Siachani Nawe’ na ‘Nivumilie’ za Barakah Da Prince, pamoja na ‘Basi Nenda’ na nyingine za Mo Music.
“Muziki wa gospel kwangu mimi ni maisha kamili, lakini production pamoja na ishu za uandishi nimefanyika kuwa sehemu ya kazi yangu,” alisema Lollipop...
10 years ago
Bongo526 Aug
Nahreel aeleza furaha yake kutokana na Top 10 ya MTV Base kuwa na nyimbo 4 za Bongo alizotengeneza yeye
10 years ago
Vijimambo