Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Izzo B aeleza kwanini anazipa uzito video za muziki

Izzo Bizness amesema hujitahidi kuzifanyia video ngoma zake kwakuwa anaamini video za muziki zina nguvu zaidi ya kuupa wigo wimbo. Izzo amekiri kuwa tatizo la wasanii wa hip hop kutozifanyia video nyimbo zao ni sugu na wakati mwingi sio kwamba hawana fedha. Msikilize zaidi akielezea hapo chini.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki

Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.

Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...

 

9 years ago

Bongo5

Godzilla aeleza kwanini video ya ‘Stay’ imechelewa kutoka

Godzilla amesema ameshindwa kufanya maandalizi ya video ya wimbo wake ‘Stay’ kutokana na watu wengi kuwa busy na masuala ya uchaguzi. Godzilla ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wengi wa muziki wameelekeza macho na masikio yao kwenye matokeo ya uchaguzi na hivyo kutokuwa na muda wa kufuatilia muziki kwa ukaribu. “Sasa hivi hata ukiupdate kitu unakuta respond […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hii ndio sababu ya kwanini Malaika haimbi style moja ya muziki

11313469_850096228421131_180915679_n

Malaika ni msanii aliyefanya vizuri mwaka huu na wimbo wake Sare aliomshirikisha Mesen Selekta.

Tayari ana video mpya iitwayo Zogo. Lakini kabla ya nyimbo hizo aliachia wimbo wa Mchiriku uitwao Mwantumu.

“Kwa Tanzania tumezoea kwamba mtu anaimba style moja ya muziki, mwanamuziki huyu limitation yake iko hapa, hawezi kubadilika kufanya kitu kingine cha tofauti, ni hapo hapo tu alipo,” amesema Malaika.

“Lakini kinachonifanya mimi kubadilika na kufanya nyimbo tofauti tofauti ni kutaka...

 

9 years ago

Bongo5

Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine

lollipop2

Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.

24

Lollipop ndiye mwandishi wa ‘Siachani Nawe’ na ‘Nivumilie’ za Barakah Da Prince, pamoja na ‘Basi Nenda’ na nyingine za Mo Music.

“Muziki wa gospel kwangu mimi ni maisha kamili, lakini production pamoja na ishu za uandishi nimefanyika kuwa sehemu ya kazi yangu,” alisema Lollipop...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: IZZO BUSINESS ft. MWANA FA & G-NAKO - SHEM LAKE (Official Video)



Published on Dec 17, 2015Official Music video for Shem Lake performed by Izzo Bizness featuring Mwana FA & G-Nako directed by Khalfani Khalmandro ,Tanzania . Produced by Nahreel at The Industry Studio in Dar es Salaam, Tanzania.
You can also Listen and download Shem Lake Audio, Click here
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam...

 

11 years ago

Bongo5

Video: Linah azungumzia video ya Ole Themba, aeleza sababu ya kuonesha utamaduni wa kizulu

Linah amesema uamuzi wa kutumia utamaduni wa kizulu kwenye video yake ya ‘Ole Themba’ (‘tumaini’ kwa Kiswahili), ni kutanua soko la muziki na pia Afrika Kusini ni kama ndugu wa Tanzania hivyo anaamini kubalishana utamaduni ni jambo jema. Akiongea kwenye mahojiano na Bongo5, Linah amesema video ya wimbo huo imeigharimu kampuni inayomsimania, No Fake Zone, […]

 

10 years ago

Bongo5

Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video

Fareed Kubanda a.k.a Fid Q amesema anatarajia kwenda nje ya nchi kushoot video yake mpya. Rapper huyo wa Rock City amesema amedhamiria kuanza kufanya video nzuri baada ya kukaa muda mrefu bila video nzuri au wakati mwingine kutofanya kabisa licha ya kutoa hits nyingi. “Nimedhamiria kufanya video nzuri, kwahiyo kiukweli nashindwa kusema itakuwa ni aina […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Models 10 wa video za muziki Tanzania waliofanya vizuri/wanaovutia zaidi 2014/2015

Kwa miaka mingi wanawake wamekuwa wakitumika zaidi kupendezesha video za muziki duniani. Kazi hiyo imewawezesha baadhi ya video queens kuwa mastaa kwa kazi hiyo tu. Hii ni orodha yetu ya warembo 10 waliofanya vizuri zaidi kwenye video za wasanii wa Tanzania kwa mwaka 2014/2015. 1. Maggie Vampire – Wanawake wa Dar – Wakazi Kwa wahudhuriaji […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani