Godzilla aeleza kwanini video ya ‘Stay’ imechelewa kutoka
Godzilla amesema ameshindwa kufanya maandalizi ya video ya wimbo wake ‘Stay’ kutokana na watu wengi kuwa busy na masuala ya uchaguzi. Godzilla ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wengi wa muziki wameelekeza macho na masikio yao kwenye matokeo ya uchaguzi na hivyo kutokuwa na muda wa kufuatilia muziki kwa ukaribu. “Sasa hivi hata ukiupdate kitu unakuta respond […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Oct
Video: Izzo B aeleza kwanini anazipa uzito video za muziki
9 years ago
Bongo510 Oct
Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka
10 years ago
Bongo Movies06 Jun
Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki
Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.
Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...
10 years ago
Bongo511 Nov
Illuminati? Godzilla aeleza undani wa single yake mpya ‘Illuminaughty’
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Godzilla wa Sengerema amuibukia Godzilla wa Salasala kwa madai ya kuibiwa jina
Picha ni msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa anayemshutumu Godzilla wa Salasala kamwibia jina lake.
Na Daniel Makaka, Sengerema
Msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa, mwenye makazi yake kijiji cha Bupandwa Kata ya Bupandwa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ameibuka na kusema kuwa aliibiwa jina hilo na msanii maarufu wa Hip Hop, kutoka Salasala, Golden Mbunda “ Godzilla” ambaye msanii huyo anajiita hivyo.
Akizungumza na mwandishi...
9 years ago
Bongo519 Oct
Ben Pol aeleza kwanini alishindwa kumaliza chuo
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’
9 years ago
Bongo504 Jan
Faiza ajizushia kifo, aeleza kwanini alifanya hivyo
![Faiza Ally](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Faiza-Ally-300x194.jpg)
Faiza Ally hufanya kile akili yake inamtuma na ndio maana hivi karibuni alijizushia kifo chake mwenyewe na kusababisha tafrani kubwa.
Faiza Ally akiwa mwenye machozi
Kipitia ukurasa wake wa Facebook, aliandika: Faiza Ally kafa akiwa anatoka location
Akizungumzia sababu ya kuandika ujumbe huo, Faiza ameiambia Bongo5 kuwa alifanya hivyo baada ya kukasirishwa na madirector wa filamu yake mpya ambao wamekuwa wakimsumbua.
“Niliamua tu kuandika kuwa nimekufa,” amesema. “Hawa director wangu wa...
10 years ago
Bongo519 Aug
Batuli aeleza kwanini mahusiano kati ya mastaa wa Bongo hayadumu