Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Godzilla aeleza kwanini video ya ‘Stay’ imechelewa kutoka

Godzilla amesema ameshindwa kufanya maandalizi ya video ya wimbo wake ‘Stay’ kutokana na watu wengi kuwa busy na masuala ya uchaguzi. Godzilla ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wengi wa muziki wameelekeza macho na masikio yao kwenye matokeo ya uchaguzi na hivyo kutokuwa na muda wa kufuatilia muziki kwa ukaribu. “Sasa hivi hata ukiupdate kitu unakuta respond […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Izzo B aeleza kwanini anazipa uzito video za muziki

Izzo Bizness amesema hujitahidi kuzifanyia video ngoma zake kwakuwa anaamini video za muziki zina nguvu zaidi ya kuupa wigo wimbo. Izzo amekiri kuwa tatizo la wasanii wa hip hop kutozifanyia video nyimbo zao ni sugu na wakati mwingi sio kwamba hawana fedha. Msikilize zaidi akielezea hapo chini.

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka

Meneja wa mwanadada wa filamu Wema Sepetu, Martin Kadinda ameelezea sababu ya kuchelewa kutoka kwa filamu ya ‘Day After Death’ iliyochezwa na Wema pamoja na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’. Martin amesema filamu hiyo ilikuwa itoke September mwaka huu lakini imeshindikana kutokana na kampeni za uchaguzi. “Filamu mpaka sasa ipo tayari, lakini […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki

Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.

Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...

 

10 years ago

Bongo5

Illuminati? Godzilla aeleza undani wa single yake mpya ‘Illuminaughty’

Wiki Godzilla anaachia ngoma kadhaa ukiwemo wimbo rasmi uitwao ‘Karibu Yako’ uliotayarishwa na Lamar pamoja na wimbo usio rasmi uitwao ‘Illuminaughty’. Godzilla amedai kuwa pamoja na Illuminaughty kufanana na Illuminati ambayo huhusishwa na shetani, watu wasiogope kwakuwa anachohitaji ni kufikisha ujumbe wake kwa jamii. “Unajua kuna wazazi ukiwapelekea mke unakuta yale mavazi ya vimini, kujipodoa, […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Godzilla wa Sengerema amuibukia Godzilla wa Salasala kwa madai ya kuibiwa jina

IMG_0860

Picha ni msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa anayemshutumu Godzilla wa Salasala kamwibia jina lake.

Na Daniel Makaka, Sengerema

Msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa, mwenye makazi yake kijiji cha Bupandwa Kata ya Bupandwa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ameibuka na kusema kuwa aliibiwa jina hilo  na msanii maarufu wa Hip Hop, kutoka Salasala,  Golden Mbunda  “ Godzilla”  ambaye msanii huyo anajiita hivyo.

Akizungumza na mwandishi...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol aeleza kwanini alishindwa kumaliza chuo

Mwimbaji wa R&B, Ben Pol ameweka wazi sababu iliyomfanya kushindwa kuendelea na masomo yake ya biashara kwenye chuo cha IFM. Akizungumza na Global TV hivi karibuni, Ben Pol alisema muziki umemfanya ashindwe kufuatilia masomo yake vizuri. “Nilikuwa nasoma IMF, Banking Finance Diploma,” alisema. “Nilisoma mwaka mmoja na baada ya hapo mambo yakawa mengi, tour nikasafiri […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’

Young Dee amesema aliamua kuachana na kundi la Mtu Chee baada ya kuona halina malengo ya mbele. Young Dee ameimbia 255 ya XXL kuwa ameshauriwa na watu wake wa karibu kuachana na project za kundi hilo na kusimama yeye mwenyewe. “Haina u-serous katika kazi,” alisema. “Mfumo wake wa kazi ni ule wa mizuka, watu ambao […]

 

9 years ago

Bongo5

Faiza ajizushia kifo, aeleza kwanini alifanya hivyo

Faiza Ally

Faiza Ally hufanya kile akili yake inamtuma na ndio maana hivi karibuni alijizushia kifo chake mwenyewe na kusababisha tafrani kubwa.

Faiza Ally
Faiza Ally akiwa mwenye machozi

Kipitia ukurasa wake wa Facebook, aliandika: Faiza Ally kafa akiwa anatoka location

Akizungumzia sababu ya kuandika ujumbe huo, Faiza ameiambia Bongo5 kuwa alifanya hivyo baada ya kukasirishwa na madirector wa filamu yake mpya ambao wamekuwa wakimsumbua.

“Niliamua tu kuandika kuwa nimekufa,” amesema. “Hawa director wangu wa...

 

10 years ago

Bongo5

Batuli aeleza kwanini mahusiano kati ya mastaa wa Bongo hayadumu

Mwanadada ambaye ni mrembo katika tasnia ya filamu, Yobnesh Yussuph aka Batuli amezungumzia changamoto zinazowakumba mastaa wa Tanzania walio kwenye uhusiano wa kimapenzi ambazo huwafanya washindwe kudumu. Akizungumza na Bongo5 leo, Batuli amesema tatizo kubwa ambalo lipo kwa mastaa wa Bongo ni kutojua mapenzi na na kutokuwa na pesa. “Huwezi kufananisha maisha ya couples za […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani