Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki

Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.

Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Izzo B aeleza kwanini anazipa uzito video za muziki

Izzo Bizness amesema hujitahidi kuzifanyia video ngoma zake kwakuwa anaamini video za muziki zina nguvu zaidi ya kuupa wigo wimbo. Izzo amekiri kuwa tatizo la wasanii wa hip hop kutozifanyia video nyimbo zao ni sugu na wakati mwingi sio kwamba hawana fedha. Msikilize zaidi akielezea hapo chini.

 

9 years ago

Bongo5

Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri

Mtayarishaji wa muziki, Man Walter amesema wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri kutokana na kushindwa kuendana na mfumo wa muziki wa sasa. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Man Walter alisema wasanii hao wanahitaji ushauri wa ziada ili wafanye vizuri. “Unajua muziki umebadilika sana na wengi wanaoathirika na mfumo huu ni wasanii wakongwe, ndio maana wengi wanashindwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine

lollipop2

Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.

24

Lollipop ndiye mwandishi wa ‘Siachani Nawe’ na ‘Nivumilie’ za Barakah Da Prince, pamoja na ‘Basi Nenda’ na nyingine za Mo Music.

“Muziki wa gospel kwangu mimi ni maisha kamili, lakini production pamoja na ishu za uandishi nimefanyika kuwa sehemu ya kazi yangu,” alisema Lollipop...

 

10 years ago

Bongo5

Wakazi aeleza kwanini haikuwa rahisi kufanya collabo na kina Wiz Khalifa, Kanye West na Diddy alipokutana nao

Wakazi ni msanii wa Hip Hop wa Tanzania aliyepata nafasi ya kukutana na kupiga picha na mastaa wengi wakubwa wa Marekani. Wakazi na Wiz Khalifa Kutokana na kuonekana akiwa amepiga picha na mastaa kama Wiz Khalifa, Kanye West, Diddy na wengine, amekuwa akiulizwa kama alifanikiwa kufanya collabo hata na mmoja wa mastaa hao. Wakazi na […]

 

9 years ago

Bongo5

Godzilla aeleza kwanini video ya ‘Stay’ imechelewa kutoka

Godzilla amesema ameshindwa kufanya maandalizi ya video ya wimbo wake ‘Stay’ kutokana na watu wengi kuwa busy na masuala ya uchaguzi. Godzilla ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wengi wa muziki wameelekeza macho na masikio yao kwenye matokeo ya uchaguzi na hivyo kutokuwa na muda wa kufuatilia muziki kwa ukaribu. “Sasa hivi hata ukiupdate kitu unakuta respond […]

 

9 years ago

Bongo5

Ditto: Siamini kabisa kama Afande Sele ameacha muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Ditto ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya kazi na Afande Sele kwenye kundi la Watu Pori ambalo halipo tena, ametoa maoni yake kuhusu taarifa za uamuzi wa Afande kutangaza kuacha muziki baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini.

Afande-Sele-nzuri_full

Wiki iliyopita rapper mkongwe wa Morogoro Afande Sele alitangaza kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji.

“Mimi niwe tu wazi kwamba siamini kama Afande ameacha muziki,” alisema Ditto kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hii ndio sababu ya kwanini Malaika haimbi style moja ya muziki

11313469_850096228421131_180915679_n

Malaika ni msanii aliyefanya vizuri mwaka huu na wimbo wake Sare aliomshirikisha Mesen Selekta.

Tayari ana video mpya iitwayo Zogo. Lakini kabla ya nyimbo hizo aliachia wimbo wa Mchiriku uitwao Mwantumu.

“Kwa Tanzania tumezoea kwamba mtu anaimba style moja ya muziki, mwanamuziki huyu limitation yake iko hapa, hawezi kubadilika kufanya kitu kingine cha tofauti, ni hapo hapo tu alipo,” amesema Malaika.

“Lakini kinachonifanya mimi kubadilika na kufanya nyimbo tofauti tofauti ni kutaka...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rossie M aeleza alichojifunza baada ya kufanya kazi na Avril

Mwanamuziki chipukizi, Rossie M amesema kufanya kazi na msanii wa Kenya, Avril kupitia wimbo wa Ben Pol, Ningefanyaje, kumemuongezea kitu cha muhimu kwenye muziki na maisha yake. Rossie M aliiambia Bongo5 kwenye interview ya pamoja na wasanii hao kuwa Avril ni ‘rafiki’ wa aina yake. “She is someone that you can talk to,” alisema. “Very […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Will Smith kufanya ziara ya muziki ya dunia mwakani

Kwa waliomfahamu hivi karibuni tu Will Smith ni maarufu zaidi kwenye ulimwengu wa filamu lakini kwa muziki pia amekuwa na historia kubwa na yenye mafanikio ikiwemo kushinda tuzo kibao za Grammy kwa nyimbo zake za miaka ya 90. Na sasa rapper huyo anadai kuwa amerudi studio kutengeza ngoma mpya. Amedai hadi sasa amesema hadi sasa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani