Video: Rossie M aeleza alichojifunza baada ya kufanya kazi na Avril
Mwanamuziki chipukizi, Rossie M amesema kufanya kazi na msanii wa Kenya, Avril kupitia wimbo wa Ben Pol, Ningefanyaje, kumemuongezea kitu cha muhimu kwenye muziki na maisha yake. Rossie M aliiambia Bongo5 kwenye interview ya pamoja na wasanii hao kuwa Avril ni ‘rafiki’ wa aina yake. “She is someone that you can talk to,” alisema. “Very […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: BEN POL ft. AVRIL & ROSSIE M - NINGEFANYAJE (Official Video)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Ben Pol ft. Avril & Rossie M – Ningefanyaje
![Untitled_13.5.1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Untitled_13.5.1-300x194.jpg)
Hatimaye Ben Pol ameachia video yake mpya ya ‘Ningefanyaje’ aliyowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M. Hii ndio video ya kwanza kwa Ben kufanya na director wa nje kwa kutumia location ya nje ya Tanzania. Imeshutiwa Afrika Kusini na kuongozwa na Justin Campos wa Gorilla Films.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo530 Sep
Video: Ben Pol, Avril na Rossie M wakiongelea wimbo wao ‘Ningefanyaje’
9 years ago
Bongo508 Dec
Hanscana aeleza alichojifunza SA kuhusu video nyingi za wabongo kutochezwa MTV na Trace
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wamewahi kutuma video zao kwenye vituo vya MTV na Trace huwa wanaamini kuwa vituo hivyo vinaupendeleo, kutokana na kucheza video za wasanii wachache tu wa Tanzania licha ya wengi kujaribu kutuma kazi zao.
Director wa video nchini Hanscana alienda Afrika Kusini hivi karibuni, na miongoni mwa mambo aliyoyafanya huko ni pamoja na kujifunza jinsi ya kufanya kazi kwa kiwango cha kimataifa, na kutafuta ‘password’ za mageti ya kupeleka kazi zake kwenye channel za...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video)
Mkali wa R&B kutoka Bongo TZ, Ben Pol anafunga mwaka 2015 huku akiacha kumbukumbu nzuri za headlines za hit ya ngoma ya ‘Sophia‘ ambayo imependwa na bado inapendwa na wengi… ukali wa ngoma hiyo ulifanya akina Quick Rocka, Peter Msechu nao kuingia studio kuiimbia copy ya aina yake, hicho ni kitu ambacho sio mara nyingi […]
The post 2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video) appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Ben Pol aeleza sababu zilizopelekea Avril kutoonekana kwenye video ya ‘Ningefanyaje’
Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake – ‘NINGEFANYAJE’, muimbaji wa R&B kutoka Tanzania, Bernard Paul maarufu kama Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avrilkutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.
Katika video hiyo iliyoongozwa na Justin Campos wa Afrika Kusini, Ben Pol anaonekana akiimba na Rossie M ambaye pia ameshirikishwa kwenye wimbo huo huku mashabiki wakiisikia...
9 years ago
Bongo528 Dec
Ben Pol Angefanyaje?: Aeleza kilichosababisha Avril kutoonekana kwenye video yake
![ben-avril](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ben-avril-300x194.jpg)
Miongoni mwa vitu ambavyo mashabiki huvitarajia kwenye video za nyimbo za collabo ni kuwaona wasanii wote waliohusika kwenye video, kitu ambacho kwa Ben Pol hakikufanikiwa kwa asilimia zote kwenye video yake mpya.
Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake ‘NINGEFANYAJE’, Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avril kutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.
Kwenye video hiyo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tUR-PG0K0g0/VoEID5rvUZI/AAAAAAAIO94/2huWdki3-yk/s72-c/48JwVIyK.jpeg)
MSANII BEN POL AELEZA SABABU ZILIZOPELEKEA AVRIL KUTOONEKANA KWENYE VIDEO YA 'NINGEFANYAJE'
![](http://3.bp.blogspot.com/-tUR-PG0K0g0/VoEID5rvUZI/AAAAAAAIO94/2huWdki3-yk/s640/48JwVIyK.jpeg)
Katika video hiyo iliyoongozwa na Justin Campos wa Afrika Kusini, Ben Pol anaonekana akiimba na Rossie M ambaye pia ameshirikishwa kwenye wimbo huo huku mashabiki wakiisikia...
9 years ago
Global Publishers19 Dec