Video: Will Smith kufanya ziara ya muziki ya dunia mwakani
Kwa waliomfahamu hivi karibuni tu Will Smith ni maarufu zaidi kwenye ulimwengu wa filamu lakini kwa muziki pia amekuwa na historia kubwa na yenye mafanikio ikiwemo kushinda tuzo kibao za Grammy kwa nyimbo zake za miaka ya 90. Na sasa rapper huyo anadai kuwa amerudi studio kutengeza ngoma mpya. Amedai hadi sasa amesema hadi sasa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Will Smith arudi kwenye muziki
LOS ANGELES, MAREKANI
MWIMBAJI na mcheza filamu mahiri nchini Marekani, Will Smith, amerudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Msanii huyo alikuwa kimya kwenye muziki huku akihamishia nguvu zake kwenye filamu, lakini wiki iliopita msanii huyo ameachiwa wimbo wake ambao unajulikana kwa jina la ‘Fiesta’.
Mara ya mwisho msanii huyo kuachia wimbo wake ilikuwa mwaka 2000, hivyo alikuwa kimya kwa miaka 15 sasa.
Hivi karibuni, msanii huyo alifanya shoo ya kujitambulisha kwamba...
10 years ago
Bongo Movies06 Jun
Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki
Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.
Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Will Smith arudi rasmi kwenye muziki
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa filamu nchini Marekani, Will Smith, anatarajia kurudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya miaka 10.
Msanii huyo alikuwa kimya mara baada ya kuachia albamu yake ya ‘Lost and Found’, aliyoiachia 2005 na kuingia
kwenye filamu na sasa amerudi katika muziki.
Tayari msanii huyo amemaliza baadhi ya video zake katika nyimbo alizotumia lugha ya Kiingereza na Kihispania.
“Nimekaa nje ya muziki kwa muda mrefu, lakini kwa sasa nimeamua kurudi tena kwa kuwa ni...
9 years ago
Bongo522 Dec
Mwaka 2016 ni kazi tu – Shaa, aliweka ‘pending’ deal nono la Kenya ili kufanya muziki (Video)
![12345711_718016738342763_71673018_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12345711_718016738342763_71673018_n-300x194.jpg)
Shaa ameutangaza mwaka 2016 kuwa ni mwaka wa ‘hapa kazi tu.’
Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM kinachoendeshwa na Dina Marious na Swebe Santana, Shaa alisema alilazimika kutolea nje deal nono aliyokuwa aifanye Kenya ili kuutumia mwaka ujao nyumbani na kufanya muziki zaidi.
“Kuna kazi nyingine tena inabidi itoke mwezi wa tatu, na nyingine tena inabidi itoke mwezi wa sita, nyingine tena mwezi wa tisa. Kwahiyo utakuwa ni mwaka ambao nitakuwa niko busy sana. Nataka niutumie kimuziki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IymI2BNX_Ns/UwgKvSpT4ZI/AAAAAAAFOrQ/g-rP3MlJHBA/s72-c/ir.jpg)
uzushi wa kifo feki cha muigizaji Will Smith watikisa dunia
9 years ago
Bongo524 Nov
Rihanna kuanza ziara ya album yake ‘Anti World Tour’ mwakani
![Riri](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Riri-300x194.jpg)
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ huenda ikatoka Ijumaa hii (Nov.27), japokuwa Rihanna wala msemaji wake hawajathibitisha.
Inasemekana kuwa album hiyo ya nane itatoka exclusively kupitia mtandao wa Jay Z, Tidal mpaka Dec 4 ndio itaanza kupatikana kwenye platform zingine.
Riri pia ametangaza ziara yake ya kuitangaza album hiyo ‘Anti World Tour’ itakayoanza Feb 2016. Kwenye ziara hiyo atakuwa na Big sean, Travis scott na The Weekend.
#ANTIWorldTour starts Feb...
9 years ago
Bongo505 Oct
Video: Sam Smith — Writing’s On The Wall (from Spectre)
9 years ago
Bongo519 Oct
Video: Bomba Estereo & Will Smith – Fiesta (Remix)
9 years ago
Bongo503 Sep
Video: Trailer ya filamu mpya ya Will Smith aliyoigiza kama daktari kutoka Nigeria, ‘Concussion’