Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Will Smith arudi rasmi kwenye muziki

smithNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa filamu nchini Marekani, Will Smith, anatarajia kurudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya miaka 10.

Msanii huyo alikuwa kimya mara baada ya kuachia albamu yake ya ‘Lost and Found’, aliyoiachia 2005 na kuingia
kwenye filamu na sasa amerudi katika muziki.

Tayari msanii huyo amemaliza baadhi ya video zake katika nyimbo alizotumia lugha ya Kiingereza na Kihispania.
“Nimekaa nje ya muziki kwa muda mrefu, lakini kwa sasa nimeamua kurudi tena kwa kuwa ni...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Will Smith arudi kwenye muziki

Will SmithLOS ANGELES, MAREKANI

MWIMBAJI na mcheza filamu mahiri nchini Marekani, Will Smith,  amerudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.

Msanii huyo alikuwa kimya kwenye muziki huku akihamishia nguvu zake kwenye filamu, lakini wiki iliopita msanii huyo ameachiwa wimbo wake ambao unajulikana kwa jina la ‘Fiesta’.

Mara ya mwisho msanii huyo kuachia wimbo wake ilikuwa mwaka 2000, hivyo alikuwa kimya kwa miaka 15 sasa.

Hivi karibuni, msanii huyo alifanya shoo ya kujitambulisha kwamba...

 

9 years ago

Mtanzania

Celine arudi kwenye muziki

celine dionCeline arudi kwenye muziki

LAS VEGAS, MAREKANI

BAADA ya Celine Dion kukaa kwa muda mrefu bila ya kufanya muziki kutokana na kumuuguza mume wake, Rene Angelil, sasa ameanza kazi ya muziki upya.

Celine alipanda jukwaani juzi huku mume wake akiwa pembeni na kabla ya kuimba aliwaambia mashabiki: ‘Nadhani kila mmoja anajua nini ninataka kukufanyia leo siku yangu rasmi.’

Hata hivyo, msanii huyo alijikuta akidondosha chozi kutokana na mapokezi aliyoyapata kutoka kwa mashabiki wake.

Baada ya...

 

10 years ago

CloudsFM

Stara arudi kwenye muziki wa Bongo Fleva

MWIMBAJI wa injili nchini, Stara Thomas ‘Stara’, ameamua kurudi rasmi katika muziki wa Bongo Fleva ambapo hivi karibuni anatarajia kuachia wimbo wake aliomshirikisha Banana Zoro. Akizungumza na MTANZANIA jana, Stara alisema anaimani wimbo huo uliopewa jina la ‘Nishike mkono’, utamtambulisha upya.
“Nimeamua kurudi nilipotekea, najua mashabiki zangu wengi watakuwa wakikumbukua jinsi gani nilikuwa nafanya vizuri,” alisema Stara.
Alisema wimbo huo utaweza kuonyesha jinsi gani amezaliwa na...

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.

Afande-Sele-nzuri_full

Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.

“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Will Smith kufanya ziara ya muziki ya dunia mwakani

Kwa waliomfahamu hivi karibuni tu Will Smith ni maarufu zaidi kwenye ulimwengu wa filamu lakini kwa muziki pia amekuwa na historia kubwa na yenye mafanikio ikiwemo kushinda tuzo kibao za Grammy kwa nyimbo zake za miaka ya 90. Na sasa rapper huyo anadai kuwa amerudi studio kutengeza ngoma mpya. Amedai hadi sasa amesema hadi sasa […]

 

9 years ago

Bongo5

Pasha arudi darasani kujifunza muziki

12345887_1533819423602873_2031511668_n

Muimbaji wa R&B, Pasha ameamua kurudi shule ili kujifunza jinsi ya kutumia vifaa vya muziki.

12345887_1533819423602873_2031511668_n

Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo ‘Mahaba Niue’ miezi michache iliyopita, ameambia Bongo5 kuwa ameamua kuingia darasani ili kutanua zaidi wigo wa muziki wake.

“Kuna center moja ipo huku Tabata ndio sehemu ambao nasoma. Najifunza kutumia vifaa vyote vya muziki kwa muda wa miezi sita,” amesema.

“Ni mafunzo ambayo nina imani yataniweka vizuri kimuziki kwa sababu sasa hivi muziki umebadilika kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Kapili arudi rasmi Bongomuvi

Baada ya kufanya kazi ya matangazo kwa muda mrefu sasa, mwigizaji aliyewahi kutamba katika filamu ya Safari, Kapili Boniventure ametangaza kurudi rasmi kwenye sanaa hiyo huku tayari akiwa ameshatengeneza filamu tatu kupitia kampuni ya 5 Effect Movie Ltd.

 

11 years ago

CloudsFM

News:Dogo Janja arudi rasmi Tip Top Connection

Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janja ameAkifunguka kupitia XXL Clouds Fm Radio alisema kuwa ameona muziki wake hauendi sawa baada ya kuondoka kwenye kundi hilo ambapo sasa hivi yupo chini ya Meneja Babu Tale.rudi rasmi kwenye kundi lake la zamani Tip Top Conection baada ya kuzunguuka katika makundi tofauti tofauti.

 

10 years ago

Mtanzania

Matusi yamuondoa Jaden Smith kwenye mitandao ya kijamii

BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MTOTO wa nguli wa filamu nchini Marekani, Will Smith ambaye ni mwanamuziki wa hip hop na filamu, Jaden Smith, ameamua kujiondoa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kupokea ujumbe mbaya kutoka kwa mashabiki wake.
Msanii huyo aliyefikisha jumla ya mashabiki milioni tano katika akaunti yake ya Twitter, amesema sababu hiyo ndiyo iliyomtoa katika mtandao wa Twitter na sasa anajipanga kufunga kurasa zake katika mitandao mingine.
“Siyo lazima niendelee kutumia Twitter,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani