Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kapili arudi rasmi Bongomuvi

Baada ya kufanya kazi ya matangazo kwa muda mrefu sasa, mwigizaji aliyewahi kutamba katika filamu ya Safari, Kapili Boniventure ametangaza kurudi rasmi kwenye sanaa hiyo huku tayari akiwa ameshatengeneza filamu tatu kupitia kampuni ya 5 Effect Movie Ltd.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Will Smith arudi rasmi kwenye muziki

smithNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa filamu nchini Marekani, Will Smith, anatarajia kurudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya miaka 10.

Msanii huyo alikuwa kimya mara baada ya kuachia albamu yake ya ‘Lost and Found’, aliyoiachia 2005 na kuingia
kwenye filamu na sasa amerudi katika muziki.

Tayari msanii huyo amemaliza baadhi ya video zake katika nyimbo alizotumia lugha ya Kiingereza na Kihispania.
“Nimekaa nje ya muziki kwa muda mrefu, lakini kwa sasa nimeamua kurudi tena kwa kuwa ni...

 

11 years ago

CloudsFM

News:Dogo Janja arudi rasmi Tip Top Connection

Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janja ameAkifunguka kupitia XXL Clouds Fm Radio alisema kuwa ameona muziki wake hauendi sawa baada ya kuondoka kwenye kundi hilo ambapo sasa hivi yupo chini ya Meneja Babu Tale.rudi rasmi kwenye kundi lake la zamani Tip Top Conection baada ya kuzunguuka katika makundi tofauti tofauti.

 

10 years ago

GPL

MASTAA BONGOMUVI WASUSIA HITIMA

  Bango likionyesha picha na majina ya wasanii wa filamu na maigizo waliotangulia mbele ya haki lililowekwa katika viwanja vya Karimjee wakati wa Hitima hiyo iliyofanyika miki iliyopita.      Aliyekuwa mgeni rasmi kwenye hitima hiyo, Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuia ya Wazazi (CCM), Abdalah Bulembo akitoa neno wakati wa shughuli.     Baadhi ya waalikwa waliokuwa… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Tunahitaji tume kumfahamu Samatta wa Bongomuvi?

Labda Edo Kumwembe ana uwezo wa kumuelezea kwa undani zaidi, hata kama humfahamu japo jina; anaweza kukusaidia kuelewa kwanini Mbwana Samatta ni miongoni wa wanasoka mahiri kutoka Afrika. Angeanzia uwanjani, hapa angekuambia jinsi anavyolijua goli na anavyoufahamu udhaifu wa mabeki, kisha angekuja kwenye dhamira, nidhamu ya anachokifanya, malengo na mikakati yake aliyojiwekea kuelekea malengo hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi arudi jimboni

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi jana alikuwa miongoni mwa mawaziri waliorudi majimboni kuomba ridhaa ya kuwania kuteuliwa na CCM kuwania ubunge.

 

9 years ago

Mwananchi

Gerrard arudi Liverpool

Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).

 

10 years ago

GPL

LAVEDA ARUDI BBA

Irene Neema Vedastous 'La Veda'. Stori: Gabriel Ng’osha MWANADADA aliyewakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini. Irene Neema Vedastous 'La Veda' ameitwa tena ili kushuhudia fainali za kinyang’anyiro hicho. Mrembo huyo amepanda pipa juzi saa 8 mchana kuelekea Sauz ambapo atakaa kwa muda wa wiki moja.… ...

 

9 years ago

Habarileo

Majabvi arudi kundini

MCHEZAJI Justice Majabvi wa Simba ameomba radhi kwa uongozi wa timu yake na tayari ameungana na wenzake kambini Shinyanga kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui keshokutwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani