Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA BONGOMUVI WASUSIA HITIMA

  Bango likionyesha picha na majina ya wasanii wa filamu na maigizo waliotangulia mbele ya haki lililowekwa katika viwanja vya Karimjee wakati wa Hitima hiyo iliyofanyika miki iliyopita.      Aliyekuwa mgeni rasmi kwenye hitima hiyo, Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuia ya Wazazi (CCM), Abdalah Bulembo akitoa neno wakati wa shughuli.     Baadhi ya waalikwa waliokuwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASTAA WASUSIA 40 YA TYSON

Stori: Gladness Mallya Jamani! Katika hali ya kushangaza, mastaa wa filamu Bongo wamesusia kumbukumbu ya siku 40 ya aliyekuwa muongozaji maarufu wa filamu nchini, George Otieno ‘Tyson’ aliyefariki dunia kwa ajali Mei 31, mwaka huu. Aliyekuwa mke wa George Otieno, 'Tyson', Beatrice Shayo Shughuli ya 40 ya Tyson ilifanyika Alhamisi iliyopita nyumbani kwa aliyekuwa mkewe, Beatrice Shayo maeneo ya Sinza-Mapambano, Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hitima ya Mama Zitto keshokutwa

HITIMA ya aliyekuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Shida Salum, inatarajiwa kufanyika nyumbani kwake Tabata-Bima, Dar es Salaam Jumamosi ya wiki hii. Kwa mujibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kapili arudi rasmi Bongomuvi

Baada ya kufanya kazi ya matangazo kwa muda mrefu sasa, mwigizaji aliyewahi kutamba katika filamu ya Safari, Kapili Boniventure ametangaza kurudi rasmi kwenye sanaa hiyo huku tayari akiwa ameshatengeneza filamu tatu kupitia kampuni ya 5 Effect Movie Ltd.

 

9 years ago

Mwananchi

Tunahitaji tume kumfahamu Samatta wa Bongomuvi?

Labda Edo Kumwembe ana uwezo wa kumuelezea kwa undani zaidi, hata kama humfahamu japo jina; anaweza kukusaidia kuelewa kwanini Mbwana Samatta ni miongoni wa wanasoka mahiri kutoka Afrika. Angeanzia uwanjani, hapa angekuambia jinsi anavyolijua goli na anavyoufahamu udhaifu wa mabeki, kisha angekuja kwenye dhamira, nidhamu ya anachokifanya, malengo na mikakati yake aliyojiwekea kuelekea malengo hayo.

 

10 years ago

Vijimambo

HITIMA YA BABA MZAZI WA MAMA TUNU PINDA YAFANYIKA

TU1Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akifarijiwa na Mke wa makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mama Asha Seif Iddi katika Sala ya Arobaini ya kifo cha Baba mzazi wa mke wa Waziri Mkuu, Marehemu Abdallah Rehani iliyofanyika nyumbani kwa Marehemu, Tabata jijini Dar es salaam Mei 17, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)TU2Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam, Alhaji Mussa Salum akizungumza katika sala ya hitima ya marehemu Abdallah Rehani, baba mzazi wa mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda iliyofanyika...

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

11 years ago

Habarileo

Wananchi wasusia upasuaji

LICHA ya kusogezewa huduma ya upasuaji jirani, wakazi wa kata ya Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaendelea kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hiyo wakiamini huduma inayotolewa katika Kituo cha Afya cha Madibira ni ya majaribio.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wasusia Bunge

HALI ya hewa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba ilichafuka baada ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia vikao kwa madai ya kuchoshwa kusikiliza matusi, ubaguzi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tangasisi wasusia fidia kiduchu

WAKAZI wa Mwambani, Kata ya Tangasisi, wilayani Tanga wameelezea kutoridhishwa na fidia waliyolipwa ili kupisha ujenzi wa reli kwenye Bandari mpya ya Mwambani. Wakazi hao zaidi ya 200 wanaoishi kandokando...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani