HITIMA YA BABA MZAZI WA MAMA TUNU PINDA YAFANYIKA
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akifarijiwa na Mke wa makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mama Asha Seif Iddi katika Sala ya Arobaini ya kifo cha Baba mzazi wa mke wa Waziri Mkuu, Marehemu Abdallah Rehani iliyofanyika nyumbani kwa Marehemu, Tabata jijini Dar es salaam Mei 17, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam, Alhaji Mussa Salum akizungumza katika sala ya hitima ya marehemu Abdallah Rehani, baba mzazi wa mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda iliyofanyika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t9X_szdB1Lw/VEoKVzwavEI/AAAAAAAGtD0/fF_aSjW-ZyI/s72-c/DSC_0018.jpeg)
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mama wa Mama Tunu Pinda azikwa Dar
Makamu wa Rais,Dkt. Mohamed Bilal akimfariji mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda wakati alipokwenda Tabata magengeni jijini Dar es salaam, nyumbani kwa marehemu, Hajjat Pili Mlolwa Rehani ambaye ni mama wa Mama Tunu, aliyefariki Septemba 17, 2015. Kulia ni Mama Hasina Kawawa,watatu kulia ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba na wanne kulia ni Naibu Waziri wake Pindi Chana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akimfariji mke wa Waziri...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qoykAe5SFBE/UxwpDIZNtWI/AAAAAAAFSVo/N34Vjq9bliE/s72-c/unnamed+(4).jpg)
MAMA TUNU PINDA AMEZINDUA MFUKO WA ELIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-qoykAe5SFBE/UxwpDIZNtWI/AAAAAAAFSVo/N34Vjq9bliE/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mama Tunu Pinda azindua Taasisi ya Manjano Foundation
![](http://1.bp.blogspot.com/-ay3W9oC4DVI/VWyC6OJ1WXI/AAAAAAAAHJc/6lIM2fm0IhY/s640/TUNU-3%2B%25281%2529.jpg)
Mgeni Rasmi kwenye halfa ua Uzinduzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Pamoja na Vipodozi Pendwa Vijulikanavyo kama Luv Touch Manjano Mke wa Waziri Mkuu Mh Tunu Pinda akitoa Hotuba yake katika Uzinduzi huo .
Katika Hotuba yake Mh Mama Pinda Alisema amefurahishwa sana Kwa Mwanamke wa Kitanzania Kuanzisha Bidhaa amabyo imeweza kushindana na Bidhaa kama hizo kutoka mataifa Mengine.Halfa hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.
Hafla hiyo ya uzinduzi ilifunguliwa na mke wa Waziri...
9 years ago
GPLMAMA WA MKE WA WAZIRI MKUU TUNU PINDA AZIKWA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KmD8TB6GbM8/U-s8OYitM4I/AAAAAAAF_Kg/RcMoGZmiqwk/s72-c/unnamed%2B(95).jpg)
Mama Tunu Pinda atunukiwa Cheti cha Ubalozi wa Amani Duniani
![](http://3.bp.blogspot.com/-KmD8TB6GbM8/U-s8OYitM4I/AAAAAAAF_Kg/RcMoGZmiqwk/s1600/unnamed%2B(95).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IcYpBkKs4Co/U-s8OoOCqII/AAAAAAAF_Kk/zURekWHBJmQ/s1600/unnamed%2B(96).jpg)
9 years ago
MichuziMAMA WA MKE WA WAZIRI MKUU TUNU PINDA AZIKWA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMAMA TUNU PINDA AYAOMBA MADHEHEBU YOTE NCHINI KUIOMBEA AMANI TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s72-c/images.jpg)
MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VHUIrRa2qys/UwCdLYkoG-I/AAAAAAAFNbE/Y6Llj0PgFnE/s1600/images.jpg)
Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...